Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
da lege.. wiki 2 nyng kweli... nashindwa nijitetetee nn kwa mke wangu... kwa maana kila siku usiku na msimulia... na nime mdanganya story natungamm mwnyw.. sasa wiki sasa kila siku usiku anataka aiendeleze... nashindwa hata nisemeje.. na nikirud leo nyumban lazima kiwake kwa maana leo nilimwambia namuendelezea... plz lege ondoa kelele za nyumbn kwangu
Mkuu, naomba nijue vitabu vya kipelelezi ambavyo vimetoka siku si mingi vya Joram Kiango na Ben Mtolwa. Vizuri haswa na vinapopatikana na bei yake.Hhaahahaha nipigiwe magoti ili iweje mkuu.
Bora hata umeonekana leoHhaahahaha nipigiwe magoti ili iweje mkuu.
Tupo pamoja wakuu.sitaki kuahidi ni lini siku kamili lakini sio mda mambo yatakuwa hewani na huu ukimya au chelewa chelewa imesababishwa n baadhi ya wadau humu.ila msiwe n wasi hata iwe kwa kuchelewa vipi mzigo lazima nitauweka n.story lazima iisheNaona matumaini sasa yapo km lege ameonena leo