QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

hahaa hivi ungekuwa ndio ww unaambiwa hivi ungeendelea kweli?tumuache jamaa afanye yake atakapokuwa tayar ataleta
 
Mhh nshasahau hadithi ilikoanzia sijui nianze upya maana Lege this tyme kaamua
 
[emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31]
 
da lege.. wiki 2 nyng kweli... nashindwa nijitetetee nn kwa mke wangu... kwa maana kila siku usiku na msimulia... na nime mdanganya story natungamm mwnyw.. sasa wiki sasa kila siku usiku anataka aiendeleze... nashindwa hata nisemeje.. na nikirud leo nyumban lazima kiwake kwa maana leo nilimwambia namuendelezea... plz lege ondoa kelele za nyumbn kwangu

Leo nilikuwa sijacheka ila comment yako kiboko
 
namba zinasomeka,ndio mana huwa sipendi kusoma story nyingi mizinguo hazimaliziki.sijui nilipata kimbele mbele gani nikaanza kuisoma hii
 
Mbona raia mu wagumu sana kuelewa???
LEGE sio main source ya story... Hii story ina mtunzi wake... Na huyo mtunzi ndio anaipika season 4 huko,, bado haijakamilika (kwa mujibu wa LEGE,, pitieni replies)...
Anachokifanya LEGE ni kutusaidia sisi kuipata story kutoka huko inakoandaliwa na huenda anaipata kwa gharama ila hapa anaimwaga bwereree tu... Unawezaje kumtolea lugha chafu mtu anayekugharamikia???[emoji27][emoji27]
Lets be wise amigos
 
Hivi bado tu mnarudi kuuchungulia huu uzi Na kuweka komenti??
Hebu upotezeeni Na modi waufunge rasmi maana Ni Kama utapeli flani tu!!
 
Naona matumaini sasa yapo km lege ameonena leo
Tupo pamoja wakuu.sitaki kuahidi ni lini siku kamili lakini sio mda mambo yatakuwa hewani na huu ukimya au chelewa chelewa imesababishwa n baadhi ya wadau humu.ila msiwe n wasi hata iwe kwa kuchelewa vipi mzigo lazima nitauweka n.story lazima iishe
 
Back
Top Bottom