LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,122
- 9,209
- Thread starter
-
- #2,421
SEHEMU YA 19
Nilimtolea Marcelo maneno
makali ,nilikuwa na hasira sana wakati
ule .Muda mrefu sijafanya kazi natakiwa
kujizuia sana kutokuwa na hasira za
kupitiliza kwani ninaweza kujikuta
nikifanya maamuzi yasiyofaa.” Akawaza
Job
Alielekea moja kwa moja katika
supermarket akafanya manunuzi ya vitu
mbali mbali ambavyo wangevihitaji pale
nyumbani kisha akaliacha gari lake pale
supermarket na kukodisha taksi
akamtaka dereva ampeleke Savannah
hotel ambako Boaz na mwanae Maria
walikuwa wamefikia
**********************
Monica aliwasili hospitali
alikolazwa Austin.Hakupata usumbufu
wowote,akaelekezwa kilipo chumba
alimolazwa Austin akaelekea huko
haraka bila kuwajali watu waliokuwa
wakimtazama .Alisalimiana na walinzi
wakamruhusu aingie ndani.Austin
alikuwa usingizini.Maria akamsogelea
na kuuweka mkono katika paji la uso
akaita kwa sauti ndogo
“Austin ...”
Taratibu Austin akafumbua macho
na kukutana na sura ya Monica ambaye
macho yake yalijaa machozi
“Oh ! Monica Ahsante umekuja
kuniona” akasema Austin
“ Pole sana Austin.Vipi maendeleo
yako?
“Nashukuru naendelea vyema.Hali
yangu si mbaya” akasema Austin na
machozi yakaongezeka machoni kwa
Monica
“Nyamaza kulia
Monica.Ninaendelea vizuri.”
“ I’m deeply hurt Austin.Who did
this to you and why? Akauliza Monica
huku akilia
“Please don’t cry Monica,Njoo hapa
karibu “ akasema Austin .Monica
akaketi kitandani
“Jana nilikuwa na baadhi ya rafiki
zangu tukinywa pombe katika baa
Fulani kumbe kuna majambazi
walikuwa wanatufuatilia.Baadae wakati
tunaondoka tukavamiwa na mimi katika
harakati za kupambana nao nikapigwa
risasi nne nikakimbizwa hapa hospitali
.Nawashukuru madaktari walinifanyia
upasuaji na kuokoa maisha yangu”
Austin akadanganya
“Pole sana Austin.Najua lengo lako
lilikuwa jema la kuwasaidia wenzako
,lakini tafadhali usicheze na watu wenye
silaha ,wangeweza kukuua .Tafadhali
usicheze na masha yako.Ukiondoka
wewe utaacha majozi makubwa kwa
ndugu,mkeo na watoto kama unao na
hata kwa sisi marafiki zako.Nilistuka
sana nilipopewa taarifa hizi kwani siku
si nyingi mmoja wa rafiki zangu naye
alipigwa risasi na akanusurika kifo”
akasema Monica na kuangusha machozi
“Anaendeleaje huo rafiki yako?
Alipigwa risasi na nani?
“Anaendelea vizuri.Mpaka sasa
bado haijafahamika nani alimpiga risasi
“ akasema Monica
Waliendelea na maongezi mengine
wakiongelea mambo mbali mbali.Austin
alifarijika sana kwa ujio ule wa Monica
.Wakati wakiendelea na maongezi mara
akaingia Amarachi
“ Hi.You must be Monica.I’m
Amarachi.Ni rafiki wa Austin na ndiye
uliyeongea naye simuni.karibu sana”
akasema Amarachi kwa uchangamfu
mkubwa na kumfanya Monica ambaye
sekunde kadhaa zilizopita alikuwa
akitoa machozi atabasamu
“ oh ! kumbe ni wewe.Ahsante
sana kwa kunipa taarifa za tukio
hili.Nimefurahi kukufahamu.Unasema
unaitwa nani? Akauliza Monica
“ Naitwa Amarachi”
“Oh ! Amarachi.Nigerians names.”
Akasema Monica
“ Ndiyo.Asili yangu ni Nigeria
lakini kwa sasa ni mtanzania.”
“ Nafurahi kukufahamu
Amarachi.Austin ni rafiki yangu na
ndiyo maana nimefika mara moja baada
ya kupata zile taarifa toka kwako”
“Amarachi” akaita Austin na
Amarachi akamsogelea karibu
“Huyu anaitwa Monica Benedict ni
rafiki yangu.Huyu ndiye aliyetengazwa
Nilimtolea Marcelo maneno
makali ,nilikuwa na hasira sana wakati
ule .Muda mrefu sijafanya kazi natakiwa
kujizuia sana kutokuwa na hasira za
kupitiliza kwani ninaweza kujikuta
nikifanya maamuzi yasiyofaa.” Akawaza
Job
Alielekea moja kwa moja katika
supermarket akafanya manunuzi ya vitu
mbali mbali ambavyo wangevihitaji pale
nyumbani kisha akaliacha gari lake pale
supermarket na kukodisha taksi
akamtaka dereva ampeleke Savannah
hotel ambako Boaz na mwanae Maria
walikuwa wamefikia
**********************
Monica aliwasili hospitali
alikolazwa Austin.Hakupata usumbufu
wowote,akaelekezwa kilipo chumba
alimolazwa Austin akaelekea huko
haraka bila kuwajali watu waliokuwa
wakimtazama .Alisalimiana na walinzi
wakamruhusu aingie ndani.Austin
alikuwa usingizini.Maria akamsogelea
na kuuweka mkono katika paji la uso
akaita kwa sauti ndogo
“Austin ...”
Taratibu Austin akafumbua macho
na kukutana na sura ya Monica ambaye
macho yake yalijaa machozi
“Oh ! Monica Ahsante umekuja
kuniona” akasema Austin
“ Pole sana Austin.Vipi maendeleo
yako?
“Nashukuru naendelea vyema.Hali
yangu si mbaya” akasema Austin na
machozi yakaongezeka machoni kwa
Monica
“Nyamaza kulia
Monica.Ninaendelea vizuri.”
“ I’m deeply hurt Austin.Who did
this to you and why? Akauliza Monica
huku akilia
“Please don’t cry Monica,Njoo hapa
karibu “ akasema Austin .Monica
akaketi kitandani
“Jana nilikuwa na baadhi ya rafiki
zangu tukinywa pombe katika baa
Fulani kumbe kuna majambazi
walikuwa wanatufuatilia.Baadae wakati
tunaondoka tukavamiwa na mimi katika
harakati za kupambana nao nikapigwa
risasi nne nikakimbizwa hapa hospitali
.Nawashukuru madaktari walinifanyia
upasuaji na kuokoa maisha yangu”
Austin akadanganya
“Pole sana Austin.Najua lengo lako
lilikuwa jema la kuwasaidia wenzako
,lakini tafadhali usicheze na watu wenye
silaha ,wangeweza kukuua .Tafadhali
usicheze na masha yako.Ukiondoka
wewe utaacha majozi makubwa kwa
ndugu,mkeo na watoto kama unao na
hata kwa sisi marafiki zako.Nilistuka
sana nilipopewa taarifa hizi kwani siku
si nyingi mmoja wa rafiki zangu naye
alipigwa risasi na akanusurika kifo”
akasema Monica na kuangusha machozi
“Anaendeleaje huo rafiki yako?
Alipigwa risasi na nani?
“Anaendelea vizuri.Mpaka sasa
bado haijafahamika nani alimpiga risasi
“ akasema Monica
Waliendelea na maongezi mengine
wakiongelea mambo mbali mbali.Austin
alifarijika sana kwa ujio ule wa Monica
.Wakati wakiendelea na maongezi mara
akaingia Amarachi
“ Hi.You must be Monica.I’m
Amarachi.Ni rafiki wa Austin na ndiye
uliyeongea naye simuni.karibu sana”
akasema Amarachi kwa uchangamfu
mkubwa na kumfanya Monica ambaye
sekunde kadhaa zilizopita alikuwa
akitoa machozi atabasamu
“ oh ! kumbe ni wewe.Ahsante
sana kwa kunipa taarifa za tukio
hili.Nimefurahi kukufahamu.Unasema
unaitwa nani? Akauliza Monica
“ Naitwa Amarachi”
“Oh ! Amarachi.Nigerians names.”
Akasema Monica
“ Ndiyo.Asili yangu ni Nigeria
lakini kwa sasa ni mtanzania.”
“ Nafurahi kukufahamu
Amarachi.Austin ni rafiki yangu na
ndiyo maana nimefika mara moja baada
ya kupata zile taarifa toka kwako”
“Amarachi” akaita Austin na
Amarachi akamsogelea karibu
“Huyu anaitwa Monica Benedict ni
rafiki yangu.Huyu ndiye aliyetengazwa