Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahhaah jamaan tumsamehe labda mwenye laptop kamnyima si mnajua cha mtuNaona lege na laptop alioazima imezingua pia,ushauri tu kwa bwana lege zama hizi unatakiwa straight sio kufanya watu wazima Kama watoto wadogo.ni hapa hatukujui kwa picha Ila ingekua inawekwa picha yako hapa hata ungepata tatizo njiani watu wangeona ni sound tu( muongo)
hahahah mkuu wewe tuu hunifaham lakini mm nafahamiana na watu wengi sana mbona humu haswa kutoka kulee jukwaa na kijiweni.Naona lege na laptop alioazima imezingua pia,ushauri tu kwa bwana lege zama hizi unatakiwa straight sio kufanya watu wazima Kama watoto wadogo.ni hapa hatukujui kwa picha Ila ingekua inawekwa picha yako hapa hata ungepata tatizo njiani watu wangeona ni sound tu( muongo)
mkuu kumbuka kuna maisha nje ya jf aisee .huwezi ukasema ukomae na jf wakati kuna mtu kafika anataka kupewa huduma .harafu siunajua tena nitashindwa hata kuwaletea story yenyeweLege kwa sound hatari mara kompyuta imezingua mara nimeazima afu mpaka sahv kimya
sawa lege usiwe na shida sisi tupohahahah mkuu wewe tuu hunifaham lakini mm nafahamiana na watu wengi sana mbona humu haswa kutoka kulee jukwaa na kijiweni.
mkuu nimepata pigo sio juu ya story tuu but kuna mambo mengi sana yalikuwepo kwenye hiyo laptop.kwakuwa nimepata nyingine msiwe na wasi mkuu naweka mambo sawa then natuma
shunie mlegezee sauti basi ashushe nondosawa lege usiwe na shida sisi tupo
hahahhhh shindwaaashunie mlegezee sauti basi ashushe nondo
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Mkuu na hiyo PC na yenyewe imelala tena? Maana naona umeshtua watu nyonga na kupotea?