QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

inawezekana kabisa, ila tutarajie mengi makubwa, kwahiyo Dr. Marcelo hana chake, dah!!
Tatizo la hadithi za LEGE kila aliotoa maoni toka mwanzo,
Mwisho wa siku hua kinyume kabisaaa, na huelekea sehemu nyingine kabisaaa ambayo mtu hakutarajia lakini kutamu zaidi.

Hilki ndicho hufanya hadithi za LEGE kutofautishwa na hadithi nyingibe nyiiiiiiingi sanaa

Atakataa hapo raisi atatumia nguvu hata kumteka na hapo ndipo ujasusi utaibuka.
Hayo ni mawazo lakini yatabagilika ghafla
 
Kutokana na hali ilivyokua, huenda Bernadetha asimruhusu Monica kuwa na mahusiano na Dr Marcelo. Japo Monica kavutiwa sana na Dr lakini naona ushawishi wa mamake pamoja na ugonjwa alionao Dr vikiwa vikwazo kumkwaa mtoto mrembo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Utakuta ni tofauti na unavowaza
 
naguswa sana na maeneo yanayotumia intelligence ktk hadithi..david zumo,jean muyeye na monica...nimependa counterintell ya muyeye....
paampja mkuu...
 
Hahahhah tumetelekezwa wote
Umetelekezwa peke yako, mi nimeachwa solembaaa, sai narudia peniela[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Wacha nitelekezwe nilikua nimezidi, leo nimeomba udhuru kwa katekista sintofika kwenye jumuiya ili niiifuatilie vizuri,
Sasa ndio hivo, kwenda ntaonekana sifai
 
Umetelekezwa peke yako, mi nimeachwa solembaaa, sai narudia peniela[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Wacha nitelekezwe nilikua nimezidi, leo nimeomba udhuru kwa katekista sintofika kwenye jumuiya ili niiifuatilie vizuri,
Sasa ndio hivo, kwenda ntaonekana sifai
Hahahaha shetani kweli ana nguvu umeona sasa dhambi yake
 
kaeni mkao wa kula story nyingine toka kwa mtunzi yule yule aliyetunga peniela now kaja na kitu kiitwacho queen monica. kutana na kijana AUSTIN JANUARY mtanashati na jasusi hatari anafanya mambo makubwa sana.

ALBERTOS kundi hatari linalotaka kuitawala dunia limeingia pia tanzania
Lini mzigo
 
Back
Top Bottom