Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,577
We uko nchi gn?Niwatakie usiku mwemwa mliopo nyumbani TZ. Mwanzo umekuwa wa kusumbua kidogo, hata mwandiko na mpangilio haujawa mzuri, lakini mtapata vitu bora kadri siku zinavyoenda. karibuni
[emoji12]Huyo dogo bill anaetafutwa na Job ni rais ernest
ah! We!Huyo dogo bill anaetafutwa na Job ni rais ernest
Naam!Nemesis
Husna unataka kunialika daku?We uko nchi gn?
Ila Ekyoma [emoji2] na comments zakoNemesis tuendelee boss ww mwana arosto mwenzetu si kama lege
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu we shusha tu please ikibidi hata season yote
Ni hii ndio zawadi yakoHeshma kwa Mkuu LEGE, nimekamilisha kile nilichokuwa nimekabidhiwa. Pasipo shaka weekend murua. Najua season 5 ni balaa. Asante sana Mkuu LEGE, mzigo nimeufikisha kadri nilivyoweza.
Urongo banaaaaHuyo dogo bill anaetafutwa na Job ni rais ernest
Kabla hujaniuliza swali nijibu kwanza swali languHusna unataka kunialika daku?
MhHuyo dogo bill anaetafutwa na Job ni rais ernest
Asante SanaNaam!
Asante kwa burudaniYeah! Imekuwa buradani nzuri bila shaka
We kiumbe vado upo tuuu[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]Asante Sana
Asante Husna, I like youNi hii ndio zawadi yako
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
Urongo banaaaa
Mkuu nashukuru sana maana viatu ulivyo vivaa vimekuenea barabara mambo madogo ya kuzingatia ni kuvalia socks sinazoendana na viatu vyenyeweNiwatakie usiku mwemwa mliopo nyumbani TZ. Mwanzo umekuwa wa kusumbua kidogo, hata mwandiko na mpangilio haujawa mzuri, lakini mtapata vitu bora kadri siku zinavyoenda. karibuni