Nassib nyika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2016
- 962
- 471
Sasa mkuu kwa arosto hii si bora tu tuseme stori imeisha, iki hata nafsi za watu zilizike na zisiendelee kuumia mkuu.Acha kupotosha watu mkui
Tupo Lege tunasubili jamaanNazani wiki hii mambo yatakuwa powa.
Mwanzo nilikuwa naweka taratibu kidogo kidogo ili kubalance alosto lakini wadau mkawa mnalalamika sana.mm nilikuwa nafanya vile kwa maana ya kutopata pumziko la mda mrefu sanaaa.
Hahahahaha mkuu.usiwe na wasi kabisa na mimi.sihawahi anzisha kitu kikaishia katikati kazima nikimalizie mpaka mwisho kabisaaaaaa.Week hii kwa lege ni mwezi mmoja. Usijipe too much hope lege namkubali ila ana sound sana. Cha msingi usiweke matumaini ya week hii sana.
Huenda ulikuwa unaimalizia kutunga, [emoji109] [emoji16]Nazani wiki hii mambo yatakuwa powa.
Mwanzo nilikuwa naweka taratibu kidogo kidogo ili kubalance alosto lakini wadau mkawa mnalalamika sana.mm nilikuwa nafanya vile kwa maana ya kutopata pumziko la mda mrefu sanaaa.
Fanya hivyo mkuu.[emoji134] [emoji134]Hahahahaha mkuu.usiwe na wasi kabisa na mimi.sihawahi anzisha kitu kikaishia katikati kazima nikimalizie mpaka mwisho kabisaaaaaa.
Siku mzigo nadondosha hapa nitafanya kali ya hatari sito ongea nita liamsha dude mwanzo mwishoo.
Mbona iliisha itafute!Il lege nakukubali sana kaka hujawai kutuangusha isipokuwa miss Tanzania ndio uliishia njiani kaka. Ila naamini hiii inaisha. Mungu akutie nguvu kaka ktk kutuburudisha
Amsha popo mkuuu tupo nyuma yako tunakulinda[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]WAKUU MZIGO NAUBWAGA LEO HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE..NAWAHI KURUDI HOME ILI NIKOMAE MPAKAA NAMALIZA SEASON 5.MPAKA MWISHO WA RIWAYA HII
WAKUU MZIGO NAUBWAGA LEO HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE..NAWAHI KURUDI HOME ILI NIKOMAE MPAKAA NAMALIZA SEASON 5.MPAKA MWISHO WA RIWAYA HII
Sawa Lege tunasubiri.WAKUU MZIGO NAUBWAGA LEO HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE..NAWAHI KURUDI HOME ILI NIKOMAE MPAKAA NAMALIZA SEASON 5.MPAKA MWISHO WA RIWAYA HII