Ilankunda1234
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 4,841
- 4,797
Tatizo la hadithi za LEGE kila aliotoa maoni toka mwanzo,inawezekana kabisa, ila tutarajie mengi makubwa, kwahiyo Dr. Marcelo hana chake, dah!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kutokana na hali ilivyokua, huenda Bernadetha asimruhusu Monica kuwa na mahusiano na Dr Marcelo. Japo Monica kavutiwa sana na Dr lakini naona ushawishi wa mamake pamoja na ugonjwa alionao Dr vikiwa vikwazo kumkwaa mtoto mrembo.
Tatizo litageuka matesoKah bonge la story
hatushindwan aisee mm na ww kila sehem nakukutaWewe ushakua mkusanya kodi
Si kwa mahudhurio haya
Naona umekuja kuchungulia huku,hatushindwan aisee mm na ww kila sehem nakukuta
hahahhah mm na ww tenaNaona umekuja kuchungulia huku,
Bado hajaweka, ohoooooooooo......
Najua inakuuuma[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mda wote unazurula tuu huku
Emb cheka vizuri[emoji23] [emoji23]hahahhah mm na ww tena
Hahahhah tumetelekezwa woteEmb cheka vizuri[emoji23] [emoji23]
Kule nako wamekutelekeza, jamani hawa wenye nyumba
Umetelekezwa peke yako, mi nimeachwa solembaaa, sai narudia peniela[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahhah tumetelekezwa wote
[emoji134] [emoji134] [emoji134] LEGEArosto
Hahahaha shetani kweli ana nguvu umeona sasa dhambi yakeUmetelekezwa peke yako, mi nimeachwa solembaaa, sai narudia peniela[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wacha nitelekezwe nilikua nimezidi, leo nimeomba udhuru kwa katekista sintofika kwenye jumuiya ili niiifuatilie vizuri,
Sasa ndio hivo, kwenda ntaonekana sifai
mpangaji mwenzangu una maneno sana sana [emoji23][emoji134] [emoji134] [emoji134] LEGE
unaweza tuona kama hatuna shukrani lakini tunateseka
Basi andika kuwa
THE END
Akili zilizike aseee
Lini mzigokaeni mkao wa kula story nyingine toka kwa mtunzi yule yule aliyetunga peniela now kaja na kitu kiitwacho queen monica. kutana na kijana AUSTIN JANUARY mtanashati na jasusi hatari anafanya mambo makubwa sana.
ALBERTOS kundi hatari linalotaka kuitawala dunia limeingia pia tanzania
Nyamanza basi, najipanga kuungama kwa hili[emoji134] [emoji134] [emoji134]Hahahaha shetani kweli ana nguvu umeona sasa dhambi yake
Cheki huyu wa chini yako anakurupuka anajua kawahi,mpangaji mwenzangu una maneno sana sana [emoji23]