Wacha wongo nipo wanyama hotel hapa tangu saa 12 jioni umeme mwingi tu kaka Kheeeeeeeeeeee [emoji2] [emoji2] [emoji2]DAAA HAKUNA JINSI HAPA ITABIDI KUSUBILI TUU UMEME UMEKATIKA YAWEZEKANA NI MAENEO MENGI YA JIJI SINZA MWENGE TANGI BOVU HAKUNA UMEME.VIPI ULIPO UKO
Sasa kuja pm na kuweka hapa kipi bora,au huko pm unalako jamboAnaetaka hii stori aje PM maana naona huyu jamaa anawazingua.
ahahaha mm nazingua na nini.harafu ww inaonekana ni mbinafsi.yawezekana wewe ulianza kuisoma hapa jf.why mpaka watu wakufuate PM kwanini usiibwage gapa mkuu.lengo na kiu za wadau zikatike.Anaetaka hii stori aje PM maana naona huyu jamaa anawazingua.
VIP umeme baado tu,au luku imeisha [emoji1]H
ahahaha mm nazingua na nini.harafu ww inaonekana ni mbinafsi.yawezekana wewe ulianza kuisoma hapa jf.why mpaka watu wakufuate PM kwanini usiibwage gapa mkuu.lengo na kiu za wadau zikatike.
...Unapajua ikizu?Anaetaka hii stori aje PM maana naona huyu jamaa anawazingua.
Bonyeza twendeUMERUDIIIIIIIIIII
Tupia vitu hapa tukesheUMERUDIIIIIIIIIII
UMERUDIIIIIIIIIII
Usijali mkuu,psychologically tulishajiandaa tayari[emoji16][emoji16]tuko vizuri[emoji16] umeme ukirudi we mwaga maji barazani tuuu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]DAAA HAKUNA JINSI HAPA ITABIDI KUSUBILI TUU UMEME UMEKATIKA YAWEZEKANA NI MAENEO MENGI YA JIJI SINZA MWENGE TANGI BOVU HAKUNA UMEME.VIPI ULIPO UKO
Hahahaha [emoji1] [emoji1]Hahahaa inaoneka Mkuu LEGE umeme ulivyorudi alifurahi mpaka akazi100 [emoji33][emoji33][emoji33]