Step by step
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 1,164
- 1,293
Anafaidi elfu 3Hii season 7 mtunzi ameirefusha sana ilifaa iwe ya mwisho. Wahusika wanahadithiana sana kitu ambacho msomaji tayari anakijua which z boring
Post sent using JamiiForums mobile app
Mkuu asante sana kwa kujitoa ila hivyo kwa screenshot me binafsi sielewi ebu fanya kama anavyotuma mbududa
Mbududa jina lake linavuma tu umuMkuu asante sana kwa kujitoa ila hivyo kwa screenshot me binafsi sielewi ebu fanya kama anavyotuma mbududa
Asee mkuu umenistua na iyo avatarNaomba link mkuu
ntumie no yako shunie nkutumie season 7 nafasi ya upendeleo[emoji2] [emoji2] [emoji2]Mkuu asante sana kwa kujitoa ila hivyo kwa screenshot me binafsi sielewi ebu fanya kama anavyotuma mbududa
Hivi vipepeo weusi imeisha au? Nasubiri iishe ndo nianze kuisomaThe bold anaweza kuwa mwandishi mzr, ila kwa ukwel patrick aseee ni nomaa yaan unakuwa kama unaangalia move vileeeee...
Utam wake ni mkubwa, yaan mpka sasa ninaona ham ya vipepeo weus inaondoka...
Mbaya zaidi kwa kuwa hairushwi hapa jf..
Post sent using JamiiForums mobile app
Kuna watu wapo kwenye group inaendelea japo kwa kasi ya kinyonga, ila pia haijanoga sana nafikiri ni kwa sabab ya the bold kuwa na mambo mengi....Hivi vipepeo weusi imeisha au? Nasubiri iishe ndo nianze kuisoma
Post sent using JamiiForums mobile app
Akuje jamaan mbududaMbududa jina lake linavuma tu umu
Post sent using JamiiForums mobile app
[emoji134] [emoji134]ntumie no yako shunie nkutumie season 7 nafasi ya upendeleo[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Hii season 7 mtunzi ameirefusha sana ilifaa iwe ya mwisho. Wahusika wanahadithiana sana kitu ambacho msomaji tayari anakijua which z boring
Post sent using JamiiForums mobile app