QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Hii season 7 mtunzi ameirefusha sana ilifaa iwe ya mwisho. Wahusika wanahadithiana sana kitu ambacho msomaji tayari anakijua which z boring

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mkuu asante sana kwa kujitoa ila hivyo kwa screenshot me binafsi sielewi ebu fanya kama anavyotuma mbududa
ntumie no yako shunie nkutumie season 7 nafasi ya upendeleo[emoji2] [emoji2] [emoji2]

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
The bold anaweza kuwa mwandishi mzr, ila kwa ukwel patrick aseee ni nomaa yaan unakuwa kama unaangalia move vileeeee...

Utam wake ni mkubwa, yaan mpka sasa ninaona ham ya vipepeo weus inaondoka...

Mbaya zaidi kwa kuwa hairushwi hapa jf..

Post sent using JamiiForums mobile app
 
The bold anaweza kuwa mwandishi mzr, ila kwa ukwel patrick aseee ni nomaa yaan unakuwa kama unaangalia move vileeeee...

Utam wake ni mkubwa, yaan mpka sasa ninaona ham ya vipepeo weus inaondoka...

Mbaya zaidi kwa kuwa hairushwi hapa jf..

Post sent using JamiiForums mobile app
Hivi vipepeo weusi imeisha au? Nasubiri iishe ndo nianze kuisoma

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kwahy wakuu mmegoma????au mim huk arosto jaman so feya kabisa

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Sema season 7 imeishia sehem nzr sana

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Aiseee season ya 7 imeishia patamu kweli naisubiria season ya 8[emoji123][emoji123]
Screenshot_20170715-213200.png


Post sent using JamiiForums mobile app
 
Hii season 7 mtunzi ameirefusha sana ilifaa iwe ya mwisho. Wahusika wanahadithiana sana kitu ambacho msomaji tayari anakijua which z boring

Post sent using JamiiForums mobile app

Mkuu umeongea kitu cha ukweli ni kama unaanza tena kusoma kitu mara mbili:mfano Austin baada yakuongea na Yasmni yale mazungumzo akaenda kuanza upya tena kuwaahadisia Akina Job na Amarachi mstari kwa mstari kitu ambacho angeweza kusumary tu.thats why Season 7 imekuwa ndeeeefu.
 
Back
Top Bottom