QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

subilia mkuu naweka mambo sawa hapa .mzigo upo wa kutoshaa mwanzo mwisho ni mwendo wa bandika bandua mpaka kuchee.

manina wwe jamaaa nakuelewa mnoooo aiseeee
najuta kwanini nilichelewa kuyajua haya mabandiko yko ..nili ifuatilia mnooo PENIELA BUT alivyokuja kufa jaji elibarick siku taka tena kuisoma niliona kuwa muandishi hakumtendea haki yule Jamaa hakustahiki kifo kwa sabbu yeye ndiye aliyeuanzisha ule ufukunyuku wa udukuzi ..
 
Asipokubali Monica hii hadithi itakua haijasadiki kwa mabinti wa Kitanzani

Make familia nzima inawazaga tuuu mtu mwenye hela
hahaha wewe huoni ameshahamisha fikra zake kwa raisi ..yaani hata yule doctor ameacha kumfikiria kwa muda ..Manina wallahi
kwann sijazaliwa na bakhresa mimi ?? hahaa
 
Duh marcelo hakutendewa haki jamani ndo ilibid ammiliki Monica afu Daniel bhana sikujua special mission yake huko TISS ilikuwa nn nafurah amarachi alimpata Austin coz they match aisee then Ernest amekufa Kizembe sana aidha reward yake baada ya kuitokomeza Alberto had to be huge afu duh ule mradi wa monica ndo angekabidhiwa Austin akaanzia maisha Maskini Linda aliishia wapi afu ningepata raha Alberto mkuu angetokomezwa kabisa NAFIKIRIA KWA SAUTI WAKUU
 
Kongole kwako Mtunzi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Lege kimya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…