QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Jina la hii tamthilia inaitwaje....yaani jina libebalo kitabu?
 
duuh..!!!..yaani nimekurupuka huko kitaaa....kuwahi jukwaani...holaaaah....[emoji32] [emoji32] [emoji32] ....!!!
haya bhana ngoja niendelee na kawaida....[emoji45] [emoji45] ......mida basi....[emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Wakuuu naondoka nitarudi baada ya week mbili labda nitakuta lege katupia episode za kutosha!
 
msiwe na wasi wakuu nalekebisha sio mda
Hah haha
Hawakujui ukisema si mda una maanisha nini
Wee endelea mkuu ntaendelea kuwatuliza
[emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6]
 
Lege usipowek leo nakushtakia kwa wachawi na walozi wote wakiongozwa na Mshana jr wakutoe busha tu maana hamna namna sasa. Ntapita hapa saa mbili usiku kama bado naita kamati yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…