Step by step
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 1,164
- 1,293
Poa kwa neno lako ntabaki bibie maana wewe ni kama Monica kwenye moyo wa Zumo useme nini nikataebaki humu humu jf unatosha sana
et kama monica kwenye moyo wa zumo [emoji23]Poa kwa neno lako ntabaki bibie maana wewe ni kama Monica kwenye moyo wa Zumo useme nini nikatae
Me mwenyewe nimewams sana wazazi na monica[emoji17]safi lege...naonaisa vinazaana tuu...
marria anakuja bongo kimyakimya...kumbe alitoa msaada kimyakimya kwa austin alikuwa na lake..ni lipi..??..marcelo nae anaamini aweza mpa kazi austin amsaidie...!!..naisubiri siku monica atakapokwenda kuonana na marcelo nyumbani kwa austin...!!.kumbukeni kwamba presdaa mukasa hataki uwepo uhusiano wa monica na zumo... maana aligusiwa na janeth....
na zumo ndio haelewi na ahambiwi lolote kwa monica...
ila nimewamiss wazazi wa monica.......
LEGE bana kwake umeme huwa unakatika muda anapotaka kupost stori tu ila mda anapita kusalimia huwa haukatiki. Amani iwe nawe mburudishaji wetu legeHAIna kitabu mkuu na kama ingekuwa na kitabu isingewekwa hapa
LegeHAIna kitabu mkuu na kama ingekuwa na kitabu isingewekwa hapa
Upo mama?Lege shusha vitu mzee.....[emoji5]
Hahahaha unaita kwa unyenyekevuLege
Nipo mzee. Mambo vipUpo mama?
Poa sanaNipo mzee. Mambo vip
1. LeeegeHahahaha unaita kwa unyenyekevu