Mkuu naona Monica atokutana na Marcelo kwa Austin....
Bali Marcelo ataenda Congo, atafanikiwa Kumtibu Pauline, Pauline Akipona Ndoa ya Zumo na Mornica itabaki story tu......
Ukaribu atakao ujenga Ujenga Austine na Monica utazamisha mapenz yake na mchumba wake.....