[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .....u'r ryte mkuu......Hebu tulieni kwanza, kuna wengine walijiita Jaji Elibariki kwenye Peniela, kilichotokea wote walijuta.
bado haijathibitika kama ERNEST ni biological dad wa MONNIE...[emoji1] [emoji1] ..mkuu.!!..ngoja tuone........Unajua hapa imefikia patamu sana kwani Mr. President hayupo tayari binti yake aolewe na President David.
Suala la David na Monica likivumbuluka mapema, Marcelo hatapona kupelekwa Congo. Vinginevyo Dr. Marcelo yupo hatarini.
hapana..sio lazima mkuu!!..... kwa utata wa mahusiano baina ya wanaofahamiana na waelekeao kufahamiana...yawezekana pia zumo akabaki na historia tuu..!!..Monnie lazima aolewe na Zumo ili ilete maana ya jina la hii story
si uweke kiporo..!!..[emoji1]Nasoma huku nasinzia.mida ya wanga kweli.asante lege.inazidi kunoga
Sio pabaya hapa LEGE shukurani kwakokwa leo naomba mnisamehe buree
weka picha tuoneDah!huyu cjui ananifahamu...maana sifa zote alizonazo austin ndo nlizonazo mimi,yan vile vile aisee.
hahahhhWAKUU NAHISI NITATUMA MADUDU NIPO HOI SANA AISEE TODAY
Sikuwezi kisukari sijui lege aliweka sa ngpNasoma huku nasinzia.mida ya wanga kweli.asante lege.inazidi kunoga
Asante LEGE mie nimesoma safi tena kwa furaha ya ushindi wa MUFC
Yaan ni fupi fupi, halaf marudio mengii yaan inatia uvivu aiseeIzi sehem tatu hakuna kipya mwandishi karudia kulekule
Nikiweka picha ntaaribu story maana Monica asije kunipenda mimi bure..ngoja story iimalizike kwanzaweka picha tuone
Ina maana hujatetea ndoa yako Jana mamaNasoma huku nasinzia.mida ya wanga kweli.asante lege.inazidi kunoga
[HASHTAG]#shunie[/HASHTAG] toa hicho[emoji102] [emoji35] [emoji35] [emoji35]ata hii mkuu utaipenda tu
mmh[HASHTAG]#shunie[/HASHTAG] toa hicho[emoji102] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Rudisha ile yenye pozi ya kunywea mvibyo
KhaaaaaRudisha ile yenye pozi ya kunywea mvibyo
[HASHTAG]#Shunie[/HASHTAG]