Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baradhuli imeshaisha na ni ya ukwel balaaDah wakuu kuna story ya kijasusi gani kali humu inayoenda fasta, naombeni link tafadhali, ukitoa hizi,
Peniela
Vipepeo
Baradhuli(nimeipotezea)
Ila niwe najipozea wakati nasubiri Queen Monica!
hahhahhaHapa tutarudia upyaa
Hii hua naupenda kwa kunywea bia, japo ni bei kubwa lakini hua naiga hilo pozi
Mkuu ungemwomba access ukaturushia walau hata tatu tu!Wakuu LEGE alipata safari ya ghafla jana jioni, Mungu akipenda kesho atarudi, na mambo yatakuwa mazuri. Subira kidogo inahitajika.
nisaidie link asee ya hyo baradhuliBaradhuli imeshaisha na ni ya ukwel balaa
Wapi huko mkuu, nialike na mimi!Nimemsubiria Lege hadi mida hii...
Ngoja nihamie kona ya riwaya. Kule unajipakulia utakavyo. Hela yako tuu
Ipo app play store inaitwa 'waridi' ikiipakua hiyo kuna maelekezo yote. Kwa sasa kuna vitabu zaidi ya 20Wapi huko mkuu, nialike na mimi!
Baradhuli imeshaisha na ni ya ukwel balaa
Bannedhahhahha
Bora asilete tuu,lege sio vizuri ujue umemissika
Uendeleze kwa kuitunga alipoishia lege au unao muendelezo? Fanya mambo mpwaAu niiendeleze mimi.. kama mpo tyr
Natunga vya kwanguUendeleze kwa kuitunga alipoishia lege au unao muendelezo? Fanya mambo mpwa
Hahahaaaaaaa.......LEGE atabaki LEGE....Tuendelee kumuombea apate wasaa na machine yake isizingueNatunga vya kwangu