QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Niungeni mguu jamani nivae hizi nguo za huyu ndugu yetu
 
[emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji30]
 
We jamaa mbona unashika kiberit kwwnye nyoyo zilizojaa petroll....
Mi mwenyewe nimeamua kujifariji kwa kuvaa nguo zake
Kama unaipenda wewe waweza kuivaa kujifariji
 
Reactions: Oxx
Daahhh LEGE ataendelea kuwa LEGE na mbere atabakia🙁🙁🙁🙁
 
Mke wangu ananisumbua kila cku ananiuliza mbona lege haweki hadith tena.. mm nashindwa hata cha kujibu.. plz lege weka bas.. niiponteshe ndoa yngu
 
nakumbuka hata kwa paniela ilianza figisu kimasikhara kama hivi.....mwisho wa siku....ikawa mazima......
 
nakumbuka hata kwa paniela ilianza figisu kimasikhara kama hivi.....mwisho wa siku....ikawa mazima......
hapana mkuu haiwezi kuwa hivyo nipo nje ya dar ndio maana kimyaa but nikirudi naamini sitowaangusha nitakuja na mshindo mkuu nitajitahidi kupost mara 4 or 2 tuu season 3 iwe imekwisha.naamini hamtopata mda wa kukoment zaidi ya kusoma tuu kwa kwenda mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…