LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,122
- 9,209
- Thread starter
- #1,941
SEHEMU YA 20
kuniita hivyo na leo imetimia” akasema
David.Uso wa Monica ukachanua kwa
tabasamu
“Kwa nini nisikuite hivyo David
wakati tayari nimekwisha ufungua moyo
wangu kwako? Tayari nimeukubali ukweli
kwamba mimi na wewe tumeumbwa ili
tuwe pamoja.Vipi hali yako? Anaendeleaje
Pauline?
“Sisi huku tunaendelea vizuri,hofu ni
kwako wewe.Sijui kwa nini kila wakati
ninakuwa na hofu sana juu yako huko
uliko.Natamani ungekuwa karibu ili
nikuone kila wakati na nihakikishe uko
salama.Monica una hakika uko salama?
Monica akatabasamu na kusema
“Usihofu David niko salama.”
“Nafurahi kusikia hivyo.Vipi wazazi
hawajambo? Umewaeleza kuhusu sisi?
Wamesemaje? Akauliza David
“Wazazi hawajambo na tayari
nimewaeleza kila kitu na hawana
tatizo.Wanajiandaa kuupokea ugeni
utakaoutuma kama ulivyoahidi”
“Ahsante .Nimefurahi kupita
maelezo.Vipi maendeleo yako kwa
ujumla?Kazi zako zinakwendaje?
“Kwa ujumla kila kitu kinakwenda
vizuri.Leo hii nilikuwa na vikao kadhaa
kufanya maandalizi ya ujenzi wa ile
shule.Bado naendelea kukushukuru sana
kwa msaada wako ule mkubwa kwa ile
shule”
“Usijali Monica.Nitakuunga mkono
katika miradi yako yote unayofanya kwa
jamii.U mwanamke wa pekee kabisa”
akasema David na ukimya mfupi ukapita
“David !! Monica akaita
“Naam malaika wangu”
“Samahani ,sikupokea simu yako
uliponipigia nilikuwa barabarani”
“Usijali mpenzi.Hata mimi nilihisi
hivyo.Hivi bado unaendesha gari
mwenyewe? Hauna dereva wa
kukuendesha ? Unaendesha gari la namna
gani?
“Ndiyo
ninaendesha
mwenyewe.Madereva wapo lakini
napenda kuendesha mwenyewe.Gari
ninayoendesha ni Marcedece benz.”
“ Ouh Monica,unatarajia kuwa malkia
wa Congo kwa hiyo unapaswa kuanzia
sasa kuendesha gari la hadhi ya
kimalkia.Najua hili hulipendi lakini
naomba unipe nafasi ya kukuhudumia
Monica.Mtu kama wewe unatakiwa
uendeshwe katika gari lenye hadhi kubwa
kama Limousine au uwe na helkopta
yako.”
“Ahsante David kwa kunijali .Si
kwamba ninakataa usinihudumie lakini
kwa muda huu mfupi kabla ya kufunga
ndoa niruhusu niendelee na maisha yangu
ya kawaida.Tutakapokuwa tayari katika
ndoa utakuwa ni mfalme wangu na kila
utakalolisema litakuwa ni amri kwangu.”
“Sawa
Monica”
akasema
David.Ukimya mfupi ukapita tena
“David” akaita Monica kwa sauti laini
“Unasemaje Monica?
“Nahitaji
kuonana
na
Marcelo.Umewasiliana na rais wa
Tanzania
akakuelekeza
mahala
alikohifadhiwa?
“Samahani kwa kutokufahamisha
mapema juu ya jambo hili lakini leo
sikuweza kuzungumza na rais
Ernest.Nimemtafuta sana kutwa nzima ya
leo bila mafanikio.Nadhani ni kutokana na
mambo yanayoendelea Tanzania kwa sasa
ndiyo maana imekuwa vigumu
kumpata.Nitamuwahi kesho asubuhi na
mapema halafu nitakujulisha.Usihofu
mpenzi utaonana na rafiki yako kwani
yuko salama .Je utamsaidiaje dhidi ya watu
wanaotaka kumuua?
“Bado sina mpango wowote hadi
hapo nitakapoonana naye ndipo tutapanga
kwa pamoja.Kwa sasa nahitaji sana
kuonana naye”
“Sawa Monica ila kumbuka endapo
utahitaji msaada wowote katika suala hili
mimi niko tayari kukusaidia”
“Ahsante sana David” akasema
Monica wakaendelea na maongezi
mengine ya kuhusu maisha yao,kila
mmoja akamueleza mwenzake historia ya
maisha yake lengo kubwa likiwa ni
kufahamiana
vizuri
zaidi.Baadae
wakaagana
“Oh my gosh ! David is so sweet.Ana
sauti
nzuri
anaongea
toka
moyoni.Utatamani uendelee kumsikiliza
usiku mzima.Anajua kubembeleza .Hapa
nilipo mwili wote unanichemka baada ya
kuongea naye.Huku sirini nahisi kama vile
..mhh !!
Monica akaupeleka mkono sirini
“ oh no ! I’m so wet !!.
Haraka haraka akainuka na kuingia
baduni kuoga
“Baada ya kuongea na David nahisi
kama ninahitaji kufanya mapenzi.”
Akawaza huku akiendelea kuoga
“This is very serious. I real need a
man.What am I going to do ? Hizi ndizo
athari za kuyajua mapenzi ukubwani.”
Akawaza
“Nitaiondoaje hali hii na mwanaume
wangu yuko mbali? Laiti kama David
angekuwa karibu ningemfuata usiku huu
huu.Natakiwa kutafuta namna ya
kuniita hivyo na leo imetimia” akasema
David.Uso wa Monica ukachanua kwa
tabasamu
“Kwa nini nisikuite hivyo David
wakati tayari nimekwisha ufungua moyo
wangu kwako? Tayari nimeukubali ukweli
kwamba mimi na wewe tumeumbwa ili
tuwe pamoja.Vipi hali yako? Anaendeleaje
Pauline?
“Sisi huku tunaendelea vizuri,hofu ni
kwako wewe.Sijui kwa nini kila wakati
ninakuwa na hofu sana juu yako huko
uliko.Natamani ungekuwa karibu ili
nikuone kila wakati na nihakikishe uko
salama.Monica una hakika uko salama?
Monica akatabasamu na kusema
“Usihofu David niko salama.”
“Nafurahi kusikia hivyo.Vipi wazazi
hawajambo? Umewaeleza kuhusu sisi?
Wamesemaje? Akauliza David
“Wazazi hawajambo na tayari
nimewaeleza kila kitu na hawana
tatizo.Wanajiandaa kuupokea ugeni
utakaoutuma kama ulivyoahidi”
“Ahsante .Nimefurahi kupita
maelezo.Vipi maendeleo yako kwa
ujumla?Kazi zako zinakwendaje?
“Kwa ujumla kila kitu kinakwenda
vizuri.Leo hii nilikuwa na vikao kadhaa
kufanya maandalizi ya ujenzi wa ile
shule.Bado naendelea kukushukuru sana
kwa msaada wako ule mkubwa kwa ile
shule”
“Usijali Monica.Nitakuunga mkono
katika miradi yako yote unayofanya kwa
jamii.U mwanamke wa pekee kabisa”
akasema David na ukimya mfupi ukapita
“David !! Monica akaita
“Naam malaika wangu”
“Samahani ,sikupokea simu yako
uliponipigia nilikuwa barabarani”
“Usijali mpenzi.Hata mimi nilihisi
hivyo.Hivi bado unaendesha gari
mwenyewe? Hauna dereva wa
kukuendesha ? Unaendesha gari la namna
gani?
“Ndiyo
ninaendesha
mwenyewe.Madereva wapo lakini
napenda kuendesha mwenyewe.Gari
ninayoendesha ni Marcedece benz.”
“ Ouh Monica,unatarajia kuwa malkia
wa Congo kwa hiyo unapaswa kuanzia
sasa kuendesha gari la hadhi ya
kimalkia.Najua hili hulipendi lakini
naomba unipe nafasi ya kukuhudumia
Monica.Mtu kama wewe unatakiwa
uendeshwe katika gari lenye hadhi kubwa
kama Limousine au uwe na helkopta
yako.”
“Ahsante David kwa kunijali .Si
kwamba ninakataa usinihudumie lakini
kwa muda huu mfupi kabla ya kufunga
ndoa niruhusu niendelee na maisha yangu
ya kawaida.Tutakapokuwa tayari katika
ndoa utakuwa ni mfalme wangu na kila
utakalolisema litakuwa ni amri kwangu.”
“Sawa
Monica”
akasema
David.Ukimya mfupi ukapita tena
“David” akaita Monica kwa sauti laini
“Unasemaje Monica?
“Nahitaji
kuonana
na
Marcelo.Umewasiliana na rais wa
Tanzania
akakuelekeza
mahala
alikohifadhiwa?
“Samahani kwa kutokufahamisha
mapema juu ya jambo hili lakini leo
sikuweza kuzungumza na rais
Ernest.Nimemtafuta sana kutwa nzima ya
leo bila mafanikio.Nadhani ni kutokana na
mambo yanayoendelea Tanzania kwa sasa
ndiyo maana imekuwa vigumu
kumpata.Nitamuwahi kesho asubuhi na
mapema halafu nitakujulisha.Usihofu
mpenzi utaonana na rafiki yako kwani
yuko salama .Je utamsaidiaje dhidi ya watu
wanaotaka kumuua?
“Bado sina mpango wowote hadi
hapo nitakapoonana naye ndipo tutapanga
kwa pamoja.Kwa sasa nahitaji sana
kuonana naye”
“Sawa Monica ila kumbuka endapo
utahitaji msaada wowote katika suala hili
mimi niko tayari kukusaidia”
“Ahsante sana David” akasema
Monica wakaendelea na maongezi
mengine ya kuhusu maisha yao,kila
mmoja akamueleza mwenzake historia ya
maisha yake lengo kubwa likiwa ni
kufahamiana
vizuri
zaidi.Baadae
wakaagana
“Oh my gosh ! David is so sweet.Ana
sauti
nzuri
anaongea
toka
moyoni.Utatamani uendelee kumsikiliza
usiku mzima.Anajua kubembeleza .Hapa
nilipo mwili wote unanichemka baada ya
kuongea naye.Huku sirini nahisi kama vile
..mhh !!
Monica akaupeleka mkono sirini
“ oh no ! I’m so wet !!.
Haraka haraka akainuka na kuingia
baduni kuoga
“Baada ya kuongea na David nahisi
kama ninahitaji kufanya mapenzi.”
Akawaza huku akiendelea kuoga
“This is very serious. I real need a
man.What am I going to do ? Hizi ndizo
athari za kuyajua mapenzi ukubwani.”
Akawaza
“Nitaiondoaje hali hii na mwanaume
wangu yuko mbali? Laiti kama David
angekuwa karibu ningemfuata usiku huu
huu.Natakiwa kutafuta namna ya