LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,122
- 9,209
- Thread starter
- #1,201
SEHEMU YA 97
nataka kufahamu kuhusu Yule rafiki
yangu niliyekuomba unisaidie kama zoezi
lile lilifanikiwa.Nina wasiwasi mwingi
kuhusu maisha yake”
“Oh ! samahani sana Monica
nilisahau kabisa kumuuliza rais wa
Tanzania kama suala lile lilifanikiwa.Ngoja
nimpigie sasa hivi” akasema David na
kuchukua simu akatafuta namba za
Ernest Mkasa akampigia
“ Hallow David “ akasema Ernest
alipopokea simu
“ Habari za asubuhi Ernest “
“ habari nzuri David ,habari za
Kinshasa?
“ Huku kwema kabisa.Ernest
nimekupigia ili kufahamu kuhusu ule
msaada niliokuomba wa kumuondoa Yule
kijana hospitali,je lile zoezi lilifanikiwa?
“ Ndiyo David lile zoezi
lilifanikiwa.Samahani sana sikukutaarifu
mapema.Dr Marcelo ameondolewa pale
hospitali na kwa sasa amehifadhiwa
sehemu salama tukisuburi maelekezo
yako”
“ Ahsante sana Ernest.Ninaomba
uendelee kumuhifadhi sehemu salama
nitakupa maelekezo hivi karibuni.Naomba
unijulishe kama kuna gharama zozote
zinahitajika”
“ usijali David hakuna gharama
zozote kuwa na amani”
“ Ahsante sana Ernest” akajibu David
na kukata simu akamgeukia Monica
“ Monica usiwe na wasi wasi tena
malaika wangu lile zoezi limefanikiwa na
rafiki yako yuko sehemu salama kwa sasa”
Monica akamkumbatia David kwa furaha
na kumbusu
“ Ahsante sana David .Hiki
ulichokifanya ni kitu kikubwa mno
kwangu” akasema Monica
“ Monica kwa ajili yako niko tayari
kufanya jambo lolote .Hata hivyo rais
anasubuiri maelekezo ya nini kitafuata
baada ya kumuondoa Marcelo
hospitali.Umepanga kumsaidiaje rafiki
yako?
“ Kitu kikubwa nilichokihitaji
kwanza ni kumtoa hospitali na baada ya
hapo nitajua nini kitafuata pale
nitakaporejea Dar es salaam.”
“ Ukihitaji msaada wa aina yoyote ile
usisite kunitaarifu”
“ Nitakutaarifu David kila pale
nitakapohitaji msaada” akasema Monica
nataka kufahamu kuhusu Yule rafiki
yangu niliyekuomba unisaidie kama zoezi
lile lilifanikiwa.Nina wasiwasi mwingi
kuhusu maisha yake”
“Oh ! samahani sana Monica
nilisahau kabisa kumuuliza rais wa
Tanzania kama suala lile lilifanikiwa.Ngoja
nimpigie sasa hivi” akasema David na
kuchukua simu akatafuta namba za
Ernest Mkasa akampigia
“ Hallow David “ akasema Ernest
alipopokea simu
“ Habari za asubuhi Ernest “
“ habari nzuri David ,habari za
Kinshasa?
“ Huku kwema kabisa.Ernest
nimekupigia ili kufahamu kuhusu ule
msaada niliokuomba wa kumuondoa Yule
kijana hospitali,je lile zoezi lilifanikiwa?
“ Ndiyo David lile zoezi
lilifanikiwa.Samahani sana sikukutaarifu
mapema.Dr Marcelo ameondolewa pale
hospitali na kwa sasa amehifadhiwa
sehemu salama tukisuburi maelekezo
yako”
“ Ahsante sana Ernest.Ninaomba
uendelee kumuhifadhi sehemu salama
nitakupa maelekezo hivi karibuni.Naomba
unijulishe kama kuna gharama zozote
zinahitajika”
“ usijali David hakuna gharama
zozote kuwa na amani”
“ Ahsante sana Ernest” akajibu David
na kukata simu akamgeukia Monica
“ Monica usiwe na wasi wasi tena
malaika wangu lile zoezi limefanikiwa na
rafiki yako yuko sehemu salama kwa sasa”
Monica akamkumbatia David kwa furaha
na kumbusu
“ Ahsante sana David .Hiki
ulichokifanya ni kitu kikubwa mno
kwangu” akasema Monica
“ Monica kwa ajili yako niko tayari
kufanya jambo lolote .Hata hivyo rais
anasubuiri maelekezo ya nini kitafuata
baada ya kumuondoa Marcelo
hospitali.Umepanga kumsaidiaje rafiki
yako?
“ Kitu kikubwa nilichokihitaji
kwanza ni kumtoa hospitali na baada ya
hapo nitajua nini kitafuata pale
nitakaporejea Dar es salaam.”
“ Ukihitaji msaada wa aina yoyote ile
usisite kunitaarifu”
“ Nitakutaarifu David kila pale
nitakapohitaji msaada” akasema Monica