QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Lege katika ubora wake barikiwa sana,, kweli wahenga hawakukosea kimya kingi kina..............[HASHTAG]#shunie[/HASHTAG]
Usituache tu solemba maana
 
Mhhhh mkuu kwa kitabu hapana.aisee utasubili sana.peniele ipo mwanzo mwisho mwanbie akomae kuisoma tuu.
Lege kuna sehem niliwahi ona cover ya kitabu cha peniela, sijui ni fb au kwenye app sikimbuki vizuri
 
Af lege ujue hiyo mida yako kuna mpira, ni bora ulete mzigo mapema mkuu
 
Back
Top Bottom