QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Mkuu lege tuambie basi kama unauza hizo seasons zilizobakia
Basi tununue tumalizie uhondo.
[emoji9][emoji39]
 
Hahahaha hakuna kupumua hakuna focus wala nini mtajuta kuonja hii mizigo toka kwa patric maana ni mwendo wa bandika bandua.ikiisha hii napindisha mzigo mwingine.
Aiseeee, pongez zako mkuu

[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]

Tokea majuz nlianzia mwanzo ila leo nimefka hapa , nangojea season 5,

Aisee
 
Kashasema ukitaka kununua season 1 inauzwa 3000
Ndo maana nikasema atupe namna ya kuipata season zote zilizobaki sitaki uhondo unipite hivihivi arosto hii jamani na ingekuwa bashite anatukatisha uhondo huu haki ningegombana naye.[emoji5] [emoji4]
 
Wap nemeles jaman...lege ilo twajua mpk mwakan matumain yetu tuyaweke kwa nemeles sas

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
Kama ulikuwa unamaanisha Mimi, Mimi sina season 5. Pia vipande nilivyoweka nilikuwa ni kwa hisani ya LEGE.

Jambo jingine hapa, kuna tofauti ya riwaya zinazoletwa na Ibra na wengine. Ibra ni mtunzi yeye mwenyewe. Ndiyo maana NITAKUPATA TU inarushwa kila siku. Hizi zingine ni mpaka watungaji au wanaoleta kwenye blogs zao waweke ndipo nasi tuletewe hapa. Hakuna namna zaidi ya kusubiri au kuzinunua kwenye magroup ya WhatsApp huko.
 
LEGE wewe ni kiboko.....unajua kutuvuta karibu. Dah tunashinda hapa tunatoa macho till the end!!!!!!tehe tehe tehe
 
Kama ulikuwa unamaanisha Mimi, Mimi sina season 5. Pia vipande nilivyoweka nilikuwa ni kwa hisani ya LEGE.

Jambo jingine hapa, kuna tofauti ya riwaya zinazoletwa na Ibra na wengine. Ibra ni mtunzi yeye mwenyewe. Ndiyo maana NITAKUPATA TU inarushwa kila siku. Hizi zingine ni mpaka watungaji au wanaoleta kwenye blogs zao waweke ndipo nasi tuletewe hapa. Hakuna namna zaidi ya kusubiri au kuzinunua kwenye magroup ya WhatsApp huko.
Sawaa mkuu

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
 
Kama ulikuwa unamaanisha Mimi, Mimi sina season 5. Pia vipande nilivyoweka nilikuwa ni kwa hisani ya LEGE.

Jambo jingine hapa, kuna tofauti ya riwaya zinazoletwa na Ibra na wengine. Ibra ni mtunzi yeye mwenyewe. Ndiyo maana NITAKUPATA TU inarushwa kila siku. Hizi zingine ni mpaka watungaji au wanaoleta kwenye blogs zao waweke ndipo nasi tuletewe hapa. Hakuna namna zaidi ya kusubiri au kuzinunua kwenye magroup ya WhatsApp huko.
[emoji86]
 
Kama ulikuwa unamaanisha Mimi, Mimi sina season 5. Pia vipande nilivyoweka nilikuwa ni kwa hisani ya LEGE.

Jambo jingine hapa, kuna tofauti ya riwaya zinazoletwa na Ibra na wengine. Ibra ni mtunzi yeye mwenyewe. Ndiyo maana NITAKUPATA TU inarushwa kila siku. Hizi zingine ni mpaka watungaji au wanaoleta kwenye blogs zao waweke ndipo nasi tuletewe hapa. Hakuna namna zaidi ya kusubiri au kuzinunua kwenye magroup ya WhatsApp huko.
Nipe namba nikanunue
 
Back
Top Bottom