Uchaguzi 2020 Queen Sendiga asema atampa Dkt. Magufuli Uwaziri wa Ujenzi endapo atashinda Urais

Uchaguzi 2020 Queen Sendiga asema atampa Dkt. Magufuli Uwaziri wa Ujenzi endapo atashinda Urais

Hawa mamluki wa CCM wametumwa kuja kugawa kura za wapinzani
Haya maneno sijui kwanini hamuyaachi!

Lissu nae aliwahi kusema kuwa ACT sio chama cha upinzani,Zitto na Mama Anna Mghwila sio wapinzani ni kwamba walikuwa walitumika tu na serikali kuvuruga upinzani na kupambana na Lowassa ile 2015. Ila sasa huyohuyo Lissu anamuunga mkono mgombea wa urais Zanzibar chama cha ACT.
 
Back
Top Bottom