Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo hajijui kuwa anaongea na Taifa kwa wakati wowote ule.Watawala kama huyu watakuwa na hangover ya yule mwamba aliyekuwa anakosoa, anafokea na kutumbua hadharani
Pochi ya Queen huijui kweli?
Mtu anaongea na mtumishi wa serikali kama anaongea na houseboy au house girl wake.View attachment 2245689
Katika Utawala bora ni pamoja na proper and official communication skills.
Kiongozi kuhamaki hadharani ni dalili ya weaknes, hatutakiwi kuwa emotional.
Ni kweli wakati mwingine subordinates wako wanaweza kukuongopea kwa maslahi binafsi, lakini kiongozi aliyewiva bado atakuwa cool and composed.
Sasa Mkuu wa Mkoa anataka kumweka mtu kwenye pochi yake! Hii imekaaje tena kiutawala?
Na ni pochi ipi hiyo?
Inakubifadhi hata ww na ukongwe wakoPochi ya Queen huijui kweli?
Hizo communication between Govt offials ndo zinachelewesha maendeleo.True!
Lakini katika standing orders zihusuzo communication between Govt officials , hii inaruhusiwa?
Maendeleo ni pamoja na watu kutodharauliana na kunyanyaswa kazini.Hizo communication between Govt offials ndo zinachelewesha maendeleo.
Wape ukweli acha kupamba pamba maneno.