Queen Sendiga, kuingizwa kwenye pochi inakuwaje?

Kuna mmoja wa ccm nilikuwa nambatua akashindwa kwenye kura za maoni,angeshinda na kuwa mheshimiwa ningekula sana bata
 
Kipochi manyoya ama nini [emoji23][emoji23]
 
Mtu anaongea na mtumishi wa serikali kama anaongea na houseboy au house girl wake.
Is this right?
 
True!
Lakini katika standing orders zihusuzo communication between Govt officials , hii inaruhusiwa?
Hizo communication between Govt offials ndo zinachelewesha maendeleo.
Wape ukweli acha kupamba pamba maneno.
 
Hizo communication between Govt offials ndo zinachelewesha maendeleo.
Wape ukweli acha kupamba pamba maneno.
Maendeleo ni pamoja na watu kutodharauliana na kunyanyaswa kazini.
Nikikwambia usije na mawazo ya mavi yako nafikiri wewe utafurahia tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…