Queen Sendiga ni Mwanamke chuma anajielewa na ni mpinzani wa kweli ila ADC ni koti chakavu

Queen Sendiga ni Mwanamke chuma anajielewa na ni mpinzani wa kweli ila ADC ni koti chakavu

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Huyu mama nimepata bahati ya kusikiliza Sera zake nikaona ni mtu makini na mwenye future katika siasa za Tanzania ila tatizo chama anachotoka cha ADC ya Hamad rashid kimekaaa kiunafiki unafiki.

Tofauti na viongozi wake wa huko visiwani ambapo adui yao mkubwa ni maalimu lakini mama Queen yeye adui yake ni CCM

Hivyo ni lazima ADC Party baada ya uchaguzi wamkabidhi bi mkubwa chama maana amejitolea sana kazunguka sehem kubwa ya nchi sawa na CUF Habari ya Profesa

Pia soma
> Uchaguzi 2020 - Queen Sendiga ajitokeza kuwania Urais wa JMT kupitia chama cha Alliance for Democratic Change (ADC)
> Uchaguzi 2020 - Queen Sendiga asema atampa Dkt. Magufuli Uwaziri wa Ujenzi endapo atashinda Urais
 
Huyu ndo tutamtengeneza ili awe mpinzani 2025

Hawa wengine wamevuka mipaka, kesho tukawashikishe adabu kuhakikisha hawapati hata mbunge mmoja
 
Huyu mama nimepata bahati ya kusikiliza Sera zake nikaona ni mtu makini na mwenye future katika siasa za Tanzania ila tatizo chama anachotoka cha ADC ya Hamad rashid kimekaaa kiunafiki unafiki.

Tofauti na viongozi wake wa huko visiwani ambapo adui yao mkubwa ni maalimu lakini mama Queen yeye adui yake ni CCM

Hivyo ni lazima ADC Party baada ya uchaguzi wamkabidhi bi mkubwa chama maana amejitolea sana kazunguka sehem kubwa ya nchi sawa na CUF Habari ya Profesa

Pia soma
Hongera Queen Sendiga kuteuliwa RC.
Pasco
 
Back
Top Bottom