Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
"Kuna taarifa zinasambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa kuna kijana Vitus Nkuna nimemwita ofisini kwangu leo, kutwa nzima nimekuwa nje ya ofisi kwa kikao cha tathimini ya lishe katika ukumbi wa siasa ni kilimo simjui kijana huyo ni taarifa za upotoshaji"- RC Iringa, Sendiga.
Zaidi, soma:
- Kiongozi wa BAVICHA Iringa aitwa ofisi ya RC kwa Mahojiano
Zaidi, soma:
- Kiongozi wa BAVICHA Iringa aitwa ofisi ya RC kwa Mahojiano