Mromboo
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,966
- 6,593
Umefanya kosa kumjibu hivi. Muache tu hivyo hivyo.Alishikiliwa jana kwa saa tano ila akaachiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefanya kosa kumjibu hivi. Muache tu hivyo hivyo.Alishikiliwa jana kwa saa tano ila akaachiwa.
Kumbe ni mtu asiyestahili kujibiwaUmefanya kosa kumjibu hivi. Muache tu hivyo hivyo.
RC na msuko wa twende kilioni....umetisha sana!"Kuna taarifa zinasambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa kuna kijana Vitus Nkuna nimemwita ofisini kwangu leo, kutwa nzima nimekuwa nje ya ofisi kwa kikao cha tathimini ya lishe katika ukumbi wa siasa ni kilimo simjui kijana huyo ni taarifa za upotoshaji"- RC Iringa, Sendiga.
Zaidi, soma:
- Kiongozi wa BAVICHA Iringa aitwa ofisi ya RC kwa Mahojiano
Awe Kama Mrema.Mkuu. Mpinzan inatakiwa awe na sifa zipi nidadavulie kidogo?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Anna Mngwira hakuonea wapinzanni japo alirudi CCM lakini alijitahidiMkuu. Mpinzan inatakiwa awe na sifa zipi nidadavulie kidogo?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
OkAnna Mngwira hakuonea wapinzanni japo alirudi CCM lakini alijitahidi
Kama vile magufuli alivyokua analeta siasa kwenye maisha ya watanzaniaMh.RC angemshikilia tu huyo POPOMA.....
Wamefanya kosa kumuachia kwani hao jamaa "baavichaa" wanafanya SIASA katika mambo ya kitaalamu....
#KaziIendelee
Sawa mwanaccm, unakumbuka lakini awamu ya 5 tuliongozwa na jingaman kichaa la mirembe? Una ushauri gani kwa kikundi chako cha majambazi cha ccm?"Kuna taarifa zinasambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa kuna kijana Vitus Nkuna nimemwita ofisini kwangu leo, kutwa nzima nimekuwa nje ya ofisi kwa kikao cha tathimini ya lishe katika ukumbi wa siasa ni kilimo simjui kijana huyo ni taarifa za upotoshaji"- RC Iringa, Sendiga.
Zaidi, soma:
- Kiongozi wa BAVICHA Iringa aitwa ofisi ya RC kwa Mahojiano
[emoji1787][emoji28][emoji23][emoji1787]hii nchi maigizo kila sehemuMkuu wa mkoa ni ofisi huenda kuna maafisa wa mkoa wake walimshikiria. Be brave dude.
Atokee mitaa ya ufipaMkuu. Mpinzan inatakiwa awe na sifa zipi nidadavulie kidogo?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Taarifa haikusema kuwa kashikiliwa na mkuu wa mkoa bali ilisema kashikiliwa na ofisi ya mkuu wa mkoa. Labda mkuu wa mkoa anataka kutuambia kuwa ana ule uongozi wa jiwe wa "one man show" kwamba kila kitu ni yeye tu"Kuna taarifa zinasambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa kuna kijana Vitus Nkuna nimemwita ofisini kwangu leo, kutwa nzima nimekuwa nje ya ofisi kwa kikao cha tathimini ya lishe katika ukumbi wa siasa ni kilimo simjui kijana huyo ni taarifa za upotoshaji"- RC Iringa, Sendiga.
Zaidi, soma:
- Kiongozi wa BAVICHA Iringa aitwa ofisi ya RC kwa Mahojiano