Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Namuona Kwini hapo shavu dodo hilo chigafla. Chezea!! π π π π"Kuna taarifa zinasambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa kuna kijana Vitus Nkuna nimemwita ofisini kwangu leo, kutwa nzima nimekuwa nje ya ofisi kwa kikao cha tathimini ya lishe katika ukumbi wa siasa ni kilimo simjui kijana huyo ni taarifa za upotoshaji"- RC Iringa, Sendiga.
Zaidi, soma:
- Kiongozi wa BAVICHA Iringa aitwa ofisi ya RC kwa Mahojiano
Hapo katiba imeingiaje?......bavicha kumbe wanafiki sana yaani wanajitahidi kutengeneza taharuki kwa watu makusudi kumbe mtu waowala hakushikiliwa wanakuja mitandaoni kusema kashikiliwa ili tu kuleta taharuki katika jamii wameshindwa kudai katiba wanayotaka sasa wanataka watu wasahau ujinga wao wanaofanya wa katiba maana wameona mama kawa mkali
Hutakaa ukue nakuapia! siku zote ni kuandika utumbo tubavicha kumbe wanafiki sana yaani wanajitahidi kutengeneza taharuki kwa watu makusudi kumbe mtu waowala hakushikiliwa wanakuja mitandaoni kusema kashikiliwa ili tu kuleta taharuki katika jamii wameshindwa kudai katiba wanayotaka sasa wanataka watu wasahau ujinga wao wanaofanya wa katiba maana wameona mama kawa mkali
YapMisrepresentation. Inaonekana alishikiliwa Polisi Iringa kwa maelekezo ya RC Shinyanga.
Alishikiliwa jana kwa saa tano ila akaachiwa.bavicha kumbe wanafiki sana yaani wanajitahidi kutengeneza taharuki kwa watu makusudi kumbe mtu waowala hakushikiliwa wanakuja mitandaoni kusema kashikiliwa ili tu kuleta taharuki katika jamii wameshindwa kudai katiba wanayotaka sasa wanataka watu wasahau ujinga wao wanaofanya wa katiba maana wameona mama kawa mkali
sassa mbona mkuu wa mkoa anakataa jamani tuache ushabiki maandazi huoAlishikiliwa jana kwa saa tano ila akaachiwa.
Ushabiki maandazi upi na wewe legeza nati za kichwa mi nakuambia alikamatwa jana na wakamshikilia kwa saa tano we unawaza maandazi tu, haujanywa chai?sassa mbona mkuu wa mkoa anakataa jamani tuache ushabiki maandazi huo
hahaaaa sijanywa chai mkuu, sasa unaweza ukute polisi waliamua tu kumshikilia nyie mnaanza kumzushia mkuu wa mkoa haya kasema hajamshikilia nuie bado mnasema alimshikilia mbona mnakuwa mazwazwa?Ushabiki maandazi upi na wewe legeza nati za kichwa mi nakuambia alikamatwa jana na wakamshikilia kwa saa tano we unawaza maandazi tu, haujanywa chai?
Erythrocyte amebobea kwenye kueneza propaganda uchwara.πππ Chadema bhana πππ
Ni sehemu ya Wasaliti wa Taifa letu wanaokula KIFISADI kodi zetu,kwa baraka za bi , Chokochoko.Namuona Kwini hapo shavu dodo hilo chigafla. Chezea!! π π π π
aisee huyu dada hafai ni mzushi balaa yaani kama akili zake ziko mata...............ni@Eryhrocyte amebobea kwa kueneza propaganda uchwara.
hahaaaa sijanywa chai mkuu, sasa unaweza ukute polisi waliamua tu kumshikilia nyie mnaanza kumzushia mkuu wa mkoa haya kasema hajamshikilia nuie bado mnasema alimshikilia mbona mnakuwa mazwazwa?
Mkuu. Mpinzan inatakiwa awe na sifa zipi nidadavulie kidogo?Huyu bibi naye eti ni mpinzani