Queen Sendiga: Sijamshikilia huyu dogo Vitus Nkuna

Mh.RC angemshikilia tu huyo POPOMA.....

Wamefanya kosa kumuachia kwani hao jamaa "baavichaa" wanafanya SIASA katika mambo ya kitaalamu....

#KaziIendelee
 
Mh.RC angemshikilia tu huyo POPOMA.....

Wamefanya kosa kumuachia kwani hao jamaa "baavichaa" wanafanya SIASA katika mambo ya kitaalamu....

#KaziIendelee
Kama vile magufuli alivyokua analeta siasa kwenye maisha ya watanzania
 
Sawa mwanaccm, unakumbuka lakini awamu ya 5 tuliongozwa na jingaman kichaa la mirembe? Una ushauri gani kwa kikundi chako cha majambazi cha ccm?
 
Taarifa haikusema kuwa kashikiliwa na mkuu wa mkoa bali ilisema kashikiliwa na ofisi ya mkuu wa mkoa. Labda mkuu wa mkoa anataka kutuambia kuwa ana ule uongozi wa jiwe wa "one man show" kwamba kila kitu ni yeye tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…