Quotation yakusisimua filamu ya Sarafina

Quotation yakusisimua filamu ya Sarafina

Dim Ray

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2019
Posts
320
Reaction score
249
Habari zenu wana jf ,imani yangu ni kwamba mko na afya njema.

Leo katika kuchimbua chimbua store yangu ya movies,nimeitazama filamu ya Sarafina.
Nimekutana na msemo fikirishi wa mwalimu wa shule ya Sarafina Mary Masambuka it reads " I hate the killing ,I hate the violence but I can not stand aside and let others die for me,I'll fight too"
 
Hii movie sehem yake fikirishi zaidi ni pale sarafina alipomtembelea mama yake na kuanza kuharibu vitu ndani ya nyumba huku akimsifia baba yake aliyekuwa vitani yule mama alimpa sarafina jibu moja matata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii movie sehem yake fikirishi zaidi ni pale sarafina alipomtembelea mama yake na kuanza kuharibu vitu ndani ya nyumba huku akimsifia baba yake aliyekuwa vitani yule mama alimpa sarafina jibu moja matata

Sent using Jamii Forums mobile app
At least mama had deep words for her (Sarafina), when cudgels danced with her on her back ....she got new mind 😂
 
"And if I don't live to see the day, you better believe it, I'll be there, this is my home, and I'm home to stay.."

Karma
I bet the S.A citizens need not lose their independence
 
"Come on, Nelson. Why can't I be a star? What does a star do?"
This is an act of mindless vandalism! It is madness! If anyone here is responsible for this, I want to say this to you why don't you blow up your own brains? Go ahead! It's no different, the schools are your only chance, if you don't want education, do not come to school, burn the schools and you have no future, if anyone is responsible for this, you all crazy, I don't understand you, I don't like what you're doing and I want it to stop, All right?!.
 
Great movie,ilikuwa iwe na part II ila watu wakapiga fedha iliyotengwa kutumika,SARAFINA QUEEN OF SOWETO......
 
Natafuta muvie ya sarafine ila ambayo ni ndefu. Maana hii ya sasa ni tofauti na niliyokuwa naangalia miaka ya 90. Iwe na kile kipande wanachoimba kanisani, pia kuna kile kipande jamaa anakanyaga misosi juu ya meza. Na pia wapo darasani wanaimba wimbo Bringback Nelson Mandela.

Nitatoa Dau nono kwa mwenye nayo hii kitu ili anipe niwaoneshe watoto wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom