Quotation yakusisimua filamu ya Sarafina

Quotation yakusisimua filamu ya Sarafina

Natafuta muvie ya sarafine ila ambayo ni ndefu. Maana hii ya sasa ni tofauti na niliyokuwa naangalia miaka ya 90. Iwe na kile kipande wanachoimba kanisani, pia kuna kile kipande jamaa anakanyaga misosi juu ya meza. Na pia wapo darasani wanaimba wimbo Bringback Nelson Mandela.

Nitatoa Dau nono kwa mwenye nayo hii kitu ili anipe niwaoneshe watoto wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ninayo hiyo movie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliwaambia ukweli na hiki ndio kinaliangamiza lile Taifa, walikataa Elimu
This is an act of mindless vandalism! It is madness! If anyone here is responsible for this, I want to say this to you why don't you blow up your own brains? Go ahead! It's no different, the schools are your only chance, if you don't want education, do not come to school, burn the schools and you have no future, if anyone is responsible for this, you all crazy, I don't understand you, I don't like what you're doing and I want it to stop, All right?!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natafuta muvie ya sarafine ila ambayo ni ndefu. Maana hii ya sasa ni tofauti na niliyokuwa naangalia miaka ya 90. Iwe na kile kipande wanachoimba kanisani, pia kuna kile kipande jamaa anakanyaga misosi juu ya meza. Na pia wapo darasani wanaimba wimbo Bringback Nelson Mandela.

Nitatoa Dau nono kwa mwenye nayo hii kitu ili anipe niwaoneshe watoto wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ninayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani movie hii ina part two kweli??
 
The funeral speech was very emotional

"They fear you because you are young, they fear you because you are the future. How fearful they must be that they shoot you children. How powerful you must be that they fear you so much. You are powerful because you are the generation that will be free. The violence, the beatings, the torture, the killings, all this is the birth pain of our free nation. Please God may I live to see it. But if I don't, I see it now on your faces like the light of the rising sun. And my heart leaps within me as if I too was young again. And I know, oh yes! I know that freedom is coming tomorrow....
Here our children rest in peace.
Ashes to ashes, dust to dust."
 
The funeral speech was very emotional

"They fear you because you are young, they fear you because you are the future. How fearful they must be that they shoot you children. How powerful you must be that they fear you so much. You are powerful because you are the generation that will be free. The violence, the beatings, the torture, the killings, all this is the birth pain of our free nation. Please God may I live to see it. But if I don't, I see it now on your faces like the light of the rising sun. And my heart leaps within me as if I too was young again. And I know, oh yes! I know that freedom is coming tomorrow....
Here our children rest in peace.
Ashes to ashes, dust to dust."

kaka hii ni speach ya hatari sana
 
Back
Top Bottom