Quotes from Dictator Iddi Amin Dada

Lengo la ujumbe ni kuwa kila mtu achunge anachoongea ,ukiongea ukishamaliza kuna KIMOJA kati ya mawili chaweza kukupata
1.Kupigiwa makofi au
2.kupigwa makofi

Kipi kitatokea UKISHASEMA IDD AMIN ndicho alisema I CANT GUARANTEE
He couldn't guarantee because he was a dictator, what did you expect him to say?
 
Wewe lazima ukamatwe sasa,unamfananisha Mh. na hilo nduli, ngoja niwatonye vijana wa kazi, huna adabu kabisa, ulitegemea utapata udc wa Ubungo umetoswa sasa unaanza kashfa.
 
Alikuwa mojawapo wa wanadamu wenye miili mikubwa lakini akili ndogo kama ubongo wa samaki. alikuwa mfano wa bogus kabisa kabisaaaa. ukimsikiliza anaonyesha picha halisi ya mtu aliyekosa elimu na hajui kama hajui.

Alikuwa na akili sana ila matumizi ndio alitumia akili vibaya,
Akili Ni jinsi utapenda zitumia wewe
Power is nothing but control.
 
Tatizo wote mmekubari fitina na chuki za wazungu juu ya Alhaj IDDY AMIN akuwa km hvyo wanavyomueleza maana wazungu aswa wa Israel kuona wamekosana nae ndio wakaona wamshafue km ilivyokuwa kwa Baba baada swaiba wake kutolewa madarakani ndio akaona tuanzishe ile vita ambayo ndio sababu kubwa pia ya umaskini wetu leo
 
Ni bora kuwa kipofu wa macho kuliko kuwa kipofu wa akili
 
Nilipomaliza kusoms hii
post ilibidi niangalie aliyeiandika..lahaula, ameandika mtu ninayemheshimu mno kwenye hili jamvi.
Nchi yetu ni imara sana pamoja na mapungufu ya hapa na pale kiuongozi lakini hatujafikia sehemu ambapo Shein anafaninishwa na Nkurunzinza. Hapana kubwa mkuu wangu Mag3
 
The guy was clearly not as dumb as the media then portrayed him.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…