Qur-an description about the clouds

Qur-an description about the clouds

Because significant scientific developments to understand this phenomena in such detail are relatively new. Some would even say the scientific process itself, in it's current rigorous and detail oriented way, is hardly older than 500 years.
Can your science prove death?...... Its only the Qur"an that can prove death ndo maana nasema Quran iko above sayansi.
 
Because significant scientific developments to understand this phenomena in such detail are relatively new. Some would even say the scientific process itself, in it's current rigorous and detail oriented way, is hardly older than 500 years.
Whatever you see now has been discovered does not mean it was not there but it could be able to realize it's existence was not there which is why it called discovery
 
Can your science prove death?...... Its only the Qur"an that can prove death ndo maana nasema Quran iko above sayansi.
First things first, it is not my scuenxe, it is science. It was there before I existed, so it can't be my science.

Secondly, when you say "prove death" what exactly do you mean?

What constitutes a proof? What is death? How does one "prove death"?
 
Whatever you see now has been discovered does not mean it was not there but it could be able to realize it's existence was not there which is why it called discovery
That is neither here nor there.

My point is the Quran does not give a detailed decription of the process if how rain is formed.

That is why we need geography, meteorology, chemistry, etc.
 
First things first, it is not my scuenxe, it is science. It was there before I existed, so it can't be my science.

Secondly, when you say "prove death" what exactly do you mean?

What constitutes a proof? What is death? How does one "prove death"?
Why death en how death its how to prove it scientifically
 
Quran ni zaidi ya sayansi.
Ushawahi kusoma kufuatilia maandiko ya Vedas kutoka dini ya wahindu ambayo ni kongwe kuliko Islam?

Hizi hapa ni comparison of scientific facts kutoka vitabu viwili yani Quran na Vedas.
1738483609121.jpeg


Je ni kitabu kipi ambacho ni more accurate? Let the audiences judge.

1. Umbo la dunia: Sayansi inataja umbo la dunia kuwa ni duara kama tufe.
Vitabu hivi viwili ambavyo vinadaiwa vineandika habari za sayansi vinatoa majibu gani.
Quran inasema umbo la dunia ni flat wakati Vedas inasema ni duara.
1738483737342.jpeg


Hoja hii inatiwa mkazo kutoka kwenye aya zaidi ya moja katika kila kitabu.

1738483890026.jpeg


2. Dunia ni kitovu cha ulimwengu kilicho tulia na vitu vyote vilivyopo angani huvizunguka jua?

Majibu ya Sayansi kwenye hili swali yanasema dunia ndio hulizunguka jua.

Quran inasema ni jua ndio huzunguka dunia.

Wakati Vedas inaenda sawa na Sayansi kwa kusema dunia huzunguka jua.

1738484258794.jpeg


3. Mwanga wa mwezi

Kwa mujibu wa Sayansi mwanga wa mwezi kutokana na reflection ya jua.

Sayansi ya Quran inasema ni mwezi ndio unaotoa mwanga.

Vedas imeenda sawa na Sayansi.

1738484708529.jpeg


Aya zingine za msisitizo
1738484832907.jpeg


4. Ulimwengu unajongea au upo tuli?
Sayansi inaeleza kuwa ulimwengu una jongea (movable)

Kwa Sayansi ya Quran inasema ulimwengu upo fixed haujongei

Lakini Vedas imeenda sawa na Sayansi.
1738484956343.jpeg


5. Kuzama kwa jua

Sayansi inaeleza kuwa dunia inapojizungusha kwenye mhimili wake kutoka west kwenda east ndio tunapopata matokeo ya kuzama kwa jua.

Sayansi inafafanua kuwa position ya jua ipo fixed.

Tuangalie Quran yenyewe inasemaje kwenye hili

1738485531548.jpeg


Sayansi inatuambia jua linazama kwenye ukingo wa matope

Lakini Vedas inatoa maelezo yaleyale sawa na Sayansi.

6. Mzunguko wa maji
Sayansi inasema ni mchakato wa asili ambao huhusisha mabadiliko ya hali ya maji kutoka katika dunia hadi katika atmosphere na kurudi tena katika dunia.

1738485880660.jpeg


Quran inasema Mungu hushusha mvua kutoka kwenye mawingu na tena kwa vipimo maalum.

Lakini ukija kwenye Vedas utaona description ipo related na Sayansi.

Mpaka hapo utaona ni kitabu kipi chenye uhalali wa kusema kipo accurate na Sayansi.
 

Attachments

  • 1738483590738.jpeg
    1738483590738.jpeg
    68.6 KB · Views: 2
Ushawahi kusoma kufuatilia maandiko ya Vedas kutoka dini ya wahindu ambayo ni kongwe kuliko Islam?

Hizi hapa ni comparison of scientific facts kutoka vitabu viwili yani Quran na Vedas.
View attachment 3221963

Je ni kitabu kipi ambacho ni more accurate? Let the audiences judge.

1. Umbo la dunia: Sayansi inataja umbo la dunia kuwa ni duara kama tufe.
Vitabu hivi viwili ambavyo vinadaiwa vineandika habari za sayansi vinatoa majibu gani.
Quran inasema umbo la dunia ni flat wakati Vedas inasema ni duara.
View attachment 3221964

Hoja hii inatiwa mkazo kutoka kwenye aya zaidi ya moja katika kila kitabu.

View attachment 3221965

2. Dunia ni kitovu cha ulimwengu kilicho tulia na vitu vyote vilivyopo angani huvizunguka jua?

Majibu ya Sayansi kwenye hili swali yanasema dunia ndio hulizunguka jua.

Quran inasema ni jua ndio huzunguka dunia.

Wakati Vedas inaenda sawa na Sayansi kwa kusema dunia huzunguka jua.

View attachment 3221972

3. Mwanga wa mwezi

Kwa mujibu wa Sayansi mwanga wa mwezi kutokana na reflection ya jua.

Sayansi ya Quran inasema ni mwezi ndio unaotoa mwanga.

Vedas imeenda sawa na Sayansi.

View attachment 3221979

Aya zingine za msisitizo
View attachment 3221980

4. Ulimwengu unajongea au upo tuli?
Sayansi inaeleza kuwa ulimwengu una jongea (movable)

Kwa Sayansi ya Quran inasema ulimwengu upo fixed haujongei

Lakini Vedas imeenda sawa na Sayansi.
View attachment 3221983

5. Kuzama kwa jua

Sayansi inaeleza kuwa dunia inapojizungusha kwenye mhimili wake kutoka west kwenda east ndio tunapopata matokeo ya kuzama kwa jua.

Sayansi inafafanua kuwa position ya jua ipo fixed.

Tuangalie Quran yenyewe inasemaje kwenye hili

View attachment 3221986

Sayansi inatuambia jua linazama kwenye ukingo wa matope

Lakini Vedas inatoa maelezo yaleyale sawa na Sayansi.

6. Mzunguko wa maji
Sayansi inasema ni mchakato wa asili ambao huhusisha mabadiliko ya hali ya maji kutoka katika dunia hadi katika atmosphere na kurudi tena katika dunia.

View attachment 3221991

Quran inasema Mungu hushusha mvua kutoka kwenye mawingu na tena kwa vipimo maalum.

Lakini ukija kwenye Vedas utaona description ipo related na Sayansi.

Mpaka hapo utaona ni kitabu kipi chenye uhalali wa kusema kipo accurate na Sayansi.
Mkuu unachanganya kati ya globe [emoji289] na earth, acha mhemuko wa chuki tulia tufike mwisho vizuri dunia ni flate ina milima kama mizizi yake Quran iko sahihi sana, just be makini tu.
 
Qur an ni kitabu kinacho elezea mambo yote ya sayansi kabla ya wavumbuzi kuzaliwa na ndio maisha tunayo ishi hasa kwanini tusiamini.
FROM AI:

Some scientific inventions from before the 5th century include:

Paper: The Egyptians invented paper from the papyrus plant as early as 3000 BC. They wove long strips of papyrus together to create a thin, strong sheet.

Number system and geometry: The ancient Egyptians developed a number system and geometry.

Calendar: The ancient Egyptians developed a calendar.

Mesopotamian medicine: The Mesopotamians developed medicine.

Astronomy and celestial divination: The Mesopotamians developed astronomy and celestial divination.

Mathematics: The Mesopotamians developed mathematics.

The earliest roots of science can be traced back to the Ancient Near East, particularly Mesopotamia and Ancient Egypt, between 3000 and 1200 BCE.

Quran ilishushwa kuanzia mwaka 609 hadi mwaka 632.
 
FROM AI:

Some scientific inventions from before the 5th century include:

Paper: The Egyptians invented paper from the papyrus plant as early as 3000 BC. They wove long strips of papyrus together to create a thin, strong sheet.

Number system and geometry: The ancient Egyptians developed a number system and geometry.

Calendar: The ancient Egyptians developed a calendar.

Mesopotamian medicine: The Mesopotamians developed medicine.

Astronomy and celestial divination: The Mesopotamians developed astronomy and celestial divination.

Mathematics: The Mesopotamians developed mathematics.

The earliest roots of science can be traced back to the Ancient Near East, particularly Mesopotamia and Ancient Egypt, between 3000 and 1200 BCE.

Quran ilishushwa kuanzia mwaka 609 hadi mwaka 632.
Sawa, ila hiyo alieshushiwa hakuwahi kusoma wala kuandika aliyajuwaje hayo.?
 
Ushawahi kusoma kufuatilia maandiko ya Vedas kutoka dini ya wahindu ambayo ni kongwe kuliko Islam?

Hizi hapa ni comparison of scientific facts kutoka vitabu viwili yani Quran na Vedas.
View attachment 3221963

Je ni kitabu kipi ambacho ni more accurate? Let the audiences judge.

1. Umbo la dunia: Sayansi inataja umbo la dunia kuwa ni duara kama tufe.
Vitabu hivi viwili ambavyo vinadaiwa vineandika habari za sayansi vinatoa majibu gani.
Quran inasema umbo la dunia ni flat wakati Vedas inasema ni duara.
View attachment 3221964

Hoja hii inatiwa mkazo kutoka kwenye aya zaidi ya moja katika kila kitabu.

View attachment 3221965

2. Dunia ni kitovu cha ulimwengu kilicho tulia na vitu vyote vilivyopo angani huvizunguka jua?

Majibu ya Sayansi kwenye hili swali yanasema dunia ndio hulizunguka jua.

Quran inasema ni jua ndio huzunguka dunia.

Wakati Vedas inaenda sawa na Sayansi kwa kusema dunia huzunguka jua.

View attachment 3221972

3. Mwanga wa mwezi

Kwa mujibu wa Sayansi mwanga wa mwezi kutokana na reflection ya jua.

Sayansi ya Quran inasema ni mwezi ndio unaotoa mwanga.

Vedas imeenda sawa na Sayansi.

View attachment 3221979

Aya zingine za msisitizo
View attachment 3221980

4. Ulimwengu unajongea au upo tuli?
Sayansi inaeleza kuwa ulimwengu una jongea (movable)

Kwa Sayansi ya Quran inasema ulimwengu upo fixed haujongei

Lakini Vedas imeenda sawa na Sayansi.
View attachment 3221983

5. Kuzama kwa jua

Sayansi inaeleza kuwa dunia inapojizungusha kwenye mhimili wake kutoka west kwenda east ndio tunapopata matokeo ya kuzama kwa jua.

Sayansi inafafanua kuwa position ya jua ipo fixed.

Tuangalie Quran yenyewe inasemaje kwenye hili

View attachment 3221986

Sayansi inatuambia jua linazama kwenye ukingo wa matope

Lakini Vedas inatoa maelezo yaleyale sawa na Sayansi.

6. Mzunguko wa maji
Sayansi inasema ni mchakato wa asili ambao huhusisha mabadiliko ya hali ya maji kutoka katika dunia hadi katika atmosphere na kurudi tena katika dunia.

View attachment 3221991

Quran inasema Mungu hushusha mvua kutoka kwenye mawingu na tena kwa vipimo maalum.

Lakini ukija kwenye Vedas utaona description ipo related na Sayansi.

Mpaka hapo utaona ni kitabu kipi chenye uhalali wa kusema kipo accurate na Sayansi.
Uislam upo toka dunia imeanza mtu wa kwanza kuubwa alikuwa Adam ambae ni muislam

Qur-an ni kitabu cha mwisho na kime kuja kusadikisha vitabu vitatu vilivyo pita vya manabii wengine

Ambavyo ni zaburi, taurati na injili

Hiyo dini ya hindu ume creatiwa na wanadam sio mungu kwanini washindwe kupotosha watakapo ili kuweka mipingano.
 
Back
Top Bottom