Asikudanganye, hilo andiko lilitoka Wakati wa vita maalum kwa kipindi maalum sio leo.
Lengo si aina ya uovu isome vizuri mada,nachouliza je hao wanaotapeliwa wameshindwa kusoma biblia na kuielewa?bora kutapeliwa kuliko, kufanya uasi, kumwaga damu, kubaka, na maovu kedekede kama hayo..!
Hoja hapa ni kwamba hiyo haikuwa amri kutoka kwa Mungu?Acha kupotosha watu wewe! Hilo andiko lilitoka kwa kipindi maalum kwa vita maalum na hicho ni kipande tu ulichokinukuu.
Kuwa mwislam ujue kwa nini hivyo!Wapendwa mwanajf, nawasalimia kwa heshima zote!
Wote tuliopo hai duniani leo hii Dini zote tulizikuta zipo baadaye tukaaminishwa na kuamini tulichoambiwa!
Thread hii haitafuti dini IPI bora wala dhehebu lipi bora kuliko jingine.
Quran ni maandiko matakatifu katika imani za kiislam ambacho kuna machache ya yaliyomo katika Agano la kale ndani ya bibilia yamo pia katika quran.
Quran imeandikwa vizuri tu lakini lugha iliyotumika huenda haieleweki kwa wasomaji wengi ndio maana waislam walio wengi ni wepesi sana kushawishika hata kutenda maovu ambayo hata kitabu cha quran hakijayagusia hata chembe.
Jambo hili limekuwa nikinifanye ni waze sana kila mara kwa nini waislam wengi hushawishika kirahisi kutenda maovu hata mara tu wakitoka nje ya jengo la Ibaada?
Kwa nini makundi ya kiharifu yamejaza vijana wengi wa kiislam?
Kwa nini Boko haram hutembea na quran huku wakiendesha mauji holela?
Kwanini kundi la alshabab, Islamic state, alqaida, Abboosafayy, Alnusrrah nk wote hutembea na quran huku wakiendesha mauaji ya holela?
Kitu gani huwafanya waislam watofautiane na kitabu kitakatifu hicho cha Quran?
Tupia jicho mataifa yote ya kiislam utakuta mengi yana vurugu nyingi lakini Quran IPO na husomwa kila Siku.
Je quran imeelekeza kutopenda amani? Au viongozi walioenda masomo zaidi ya kuifahamu Quran ndio wapotoshaji wakubwa kwa waumini waumini wao?
Karibuni tuelimishane vizuri kwa kuepuka lugha chafu ili tusimkosee Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hii si tu kwa waislam hata kwa waKisto pia mambo ni kama haya haya tu isipoku kwa waislamu inaangukia kwenye ushawishi wa kufanya vurugu. Huenda wanahisi wanaonewa na jamii zingineUSIHUUKUMU UISLAM KWA MATENDO YA WAISLAM.
UISLAM NI DINI ILIYO KAMILIKA.ILA WAISLAM HAWAJAKAMILIKA NDO MAANA KUNA MAKOSA NA KUOMBA MSAMAHA.
PEPO NA MOTO.
UISLAM SIO JINA ETI KISA NAITWA JUMA BASI NITAKWENDA PEPONI.ILA NI KWELI WAISLAM TUMEACHA MAFUNDISHO YA QURAN.TUKUMBUSHANE.
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Je, hivyo vikundi vya kijasusi ni vya kiislamu?Hakuna dini inayoamrisha MTU atende maovu.MTU yoyote anaetenda maovu hiyo bado hajamjua muumba wake.Bosi wako kwenye ajira mbona unamtii kwa adabu zote ni kwa sababu anakulipa mshahara na unatambua mamlaka yake juu yako.Vikundi vya wanamgambo wa kiislamu Ulivyotaja vimetengenezwa na mashirika ya kijasusi ya nchi kubwa ili kutimiza malengo yao dhidi ya uislamu na nchi za kiislamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh mbona hilo kwangu ni jipya sana? Maana ninavyojua mimi kwa mujibu wa maandiko Matakatifu yaani Biblia, kule hakuna kuoa wala kuolewaUkiua kwa kupigania dini unapata haki ya bikra 72 kule juu mbinguni mara baada ya kifo chako kwa wale wafia dini kama hao vijana wa makundi ya kiharamia jamii ya bokoharamu
Huko mbinguni kuna mito ya pombe za kila aina, hivyo vilivyo haramu huku duniani mbinguni ni halali kabisa hii ni kwa mujibu ya Qur'an kitabu kitakatifu
mtukufu jaji, mtukufu mfalme nkUtakatifu is so exceptional lkn na umebase sana spiritually kuliko utukufu ambao hata baba Jesca anaitwa hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu hili ni zuri saana na nimelipenda kama nini!Kama upo sincere katika kutafuta jibu ama elimu kuhusu hilo nitakujibu.
Quran ni Kitabu kitukufu alichopewa Mtume Muhammad ili uwe muongozo kwa Waislamu. Quran imekamilika. Hakina makosa.
Quran is what we are supposed to run to at any point in our lives.
Tukiwa sad.... Tunakutana na aya unasema Do Not Be Sad
Tukiwa happy tunakutana na ingine inayotufundisha kumshukuru kwa neema za Mola wetu
Ulitaka jibu lolote utalipata kwenye Quran.
Kwa sababu ya human nature na kutokuwa tumekamilika, ndo hapo tunapokuwa Waislamu lakini imani zetu hazijakamilika.
Tunapokuwa tunasengenya.... tunatukana...tunagombana... ndo hapo inapobidi tukumbushane.Tusijisahau sana.
Tushikamane. Tuongozane. Mkono kwa mkono mpaka Jannah.
Angalizo: Boko Haram na vikundi vingine wanaojiita Waislamu sio miongoni mwetu.
kuna sehemu kwenye biblia niliona huko mbinguni mwana wa mariam nae atajitwalia kimwana wa kumpiga mkuyenge,huyo kimwana kazi anayoMh mbona hilo kwangu ni jipya sana? Maana ninavyojua mimi kwa mujibu wa maandiko Matakatifu yaani Biblia, kule hakuna kuoa wala kuolewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo ukikemewaHuko kwa Biblia kuna USHOGA, KAMARI, UESHARATI, ULEVI ....mbona haya huyasemi?