Labda nikupe mfano:-Kule Ufaransa waliuwawa wayahudi wawili wakina Charles Hebdo kwa madai kua wanauchafua Uislamu kwa kuchora katuni. Ajabu waislamu waliandamana duniani kote baada ya mauaji haya hadi Libya na Morocco kuilaani USA hata kuvamia ubalozi wa USA na sio Ufaransa. Mpaka mama Hilary akalazimika kuwatuliza.
Hatujasikia wakiandamana kuipinga ISIS, bokoharam, alshabaabu.
Sanasana wanaisifia ISIS.
Unaichukuliaje hii?
Sent using
Jamii Forums mobile app
Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu.
Huku mitaani tunawashuhudia baadhi, nasema tena baadhi ya wanaojiita waislamu wakiviunga mkono vikundi vya kigaidi kwa asilimia mia moja yaaani namaanisha 100%.
Vikundi vya Al-Shabab, ISIS, boko haram nk.
Leo hii unashindwa kumwamini ni yupi mwislamu wa ukweli au mwislamu wa boko haram.
Vikundi hivyo vyoote vinafadhiriwa na ama nchi au taasisi za Kiislamu.
Ona mfano.
Ukichora katuni ya Muhamad unachinjwa na waislamu na inakubalika kwa muislamu yeyote. Suala la picha tu ya kikatuni. What is a Cartoon.
La sivyo ni maandamano ya nchi nzima. kupinga ka mchoro ka kutunga ka katuni.
Vikitokea vikundi vya Al-Shababu vinawachinja Wakristo bila kosa lolote kama lile tukio la chuo cha Garisa nchini Kenya, waislamu wanakaa kimwaaaa, kama hawaoni vile.
Leo hii Waislamu wanawalazimisha Wakristo, kuwa alika wao wawachinjie mifugo yao na wagawiwe nyama.
Waislamu wakichinja mnyama wao, Wakristo hawahusiki na nyama hawapewi, na ni lazima Wakristo wavumilie hii hali.
Ukweli ni kwamba Mungu aliyeumba mbingu na nchi anawapenda sana Wakristo ndo maana kawapa nguvu dhidi ya Waislamu.
Kama Waislamu wangekuwa na nguvu kuwashinda Wakristo nasema ukweli kuwa Wakristo woote wangelazimishwa ama kusilimu au kuuawa.
Mshauri wangu wa masuala ya kijamii aliniambia siku moja kuwa
" ndugu yangu tafadhari usimwamini mtu yeyote anayejiita ni mwisilamu. Mwislamu anampenda mwislamu mwenzake hata kama akiwa gaidi "
Binafsi bado natafakari kauli hii.
Kwani inaonekana kuwa Mwislamu yuko salama kabisa akiwa katika jamii ya Kikristo, lakini Mkristo hayuko salama akiwa katika jamii ya Kiislamu
Neno hili nimelisema tu kwasababu sisi Watanzania tunapendana na nivizuri kutoa dukuduku la moyoni kuliko kulificha.
Ili turekebishane kama jamii iliyostaarabika.
Tujue tu kwamba Mungu ndiye aliyetuumba na niyeye peke yake mwenye mamlaka ya kutuchukua au kutuua.
Kama kuna dini au imani au mila au sheria au hisia au dhana au halali ya kumuua mtu asiyekukosea wewe binafsi au familia yako au jamaa yako, yaani kumwua mtu asiyekukosea, hiyo imani ni ya SHETANI. na HAIFAI.
Hunijui sikujui utanilazimishaje niipende dini au imani yako ambayo hata sijawahi kuisikia ?
Asante Mungu kwa kutulinda Wakristo kwa kutupa nguvu, laa sivyo hawa Al-Qaida, ISIS, na na wafuasi wao wa kimyakimya wangetuangamiza kabisa.
Asante Yesu kwa kutuponya na tuko salama katika mikono yako.
Asante sana.
Nabaki nalia kwa uchungu mkubwa.