Na mkristo aliyesoma sana biblia anafungua kanisa na kupiga hela.ALLAH WA Waislamu ANAMAADUI AMBAO NI WAKRISTO NA WAYAHUDI Allah wao ana maadui wake ambao ni Wakristo na Wayahudi
Quran. 4:51 na 57 (surat Al Maida)
Enyi mlioamini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika hao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
Ndiyo maana muislamu aliyesoma sana dini anakuwa na chuki na Wakristo au anakuwa mchawi
Hakuna anayepotosha dini, viongozi wa waislam wanatakiwa wakemee vitendo vya kigaidi, ili watu wote wajue kwamba dini ya Kiislamu haina mafundisho ya kigaidi.
Hawa wanaochukizwa na ugaidi humu ndiyo wengine wanashabikia vita,sasa sijajua kwanini ugaidi uwachukize lakini washabikie ugomvi wa N.korea na Marekani?Mkuu ungekuwa Karibu ningekununulia hata soda, ulichooleza ni kweli kabisa.Watu wengi waliotoa comment zao ni mipasho badala ya kutoa elimu ili pengine kupitia humu watu wengi wafunguke zaidi na wajitolee kupinga mambo mabaya yanayofanywa na makundi hayo maovu. Inasikitisha kusikia matendo yanayofanywa na boko haram, IS, Alshabab nk yanatendeka huku akitumia uislam na lakini waislam wamekaa kimyaa tu na wengine hata kutoa ufadhili kama nchi iliyotengwa hivi Karibuni kwa kutoa ufadhili kwa Islamic state.
We need a peaceful world now kuliko dunia ya watu wa kujitoa mhanga kwa kujilipua na kuua watu wasio na hatia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Actually umetoka nje ya Uzi.Huko kwa Biblia kuna USHOGA, KAMARI, UESHARATI, ULEVI ....mbona haya huyasemi?
Duh! we unaamini kabisa hayo makundi yana dalili ya kuteka dunia? na unaamini kabisa hao wakubwa wa dunia wamewashindwa?Swali
Ivi haya makundi ya Siasa kali kama ISIS yakifaniliwa kuiteka dunia na kuitawala,
Hali itakuwaje ?
Naomba jibu.
Tambua kwamba viongozi wa kupandikizwa wamejaa kibao...kwa zama hizi kuna viongozi wanaopotosha na wapo ambao wanaiendeleza dini hii kwa haki na kuielimisha jamii kwa usahihi....uislamu hauna historia ya kigaidi na ugaidi hauna nafasi katika uislamuHakuna anayepotosha dini, viongozi wa waislam wanatakiwa wakemee vitendo vya kigaidi, ili watu wote wajue kwamba dini ya Kiislamu haina mafundisho ya kigaidi.
MmmmhUkiua kwa kupigania dini unapata haki ya bikra 72 kule juu mbinguni mara baada ya kifo chako kwa wale wafia dini kama hao vijana wa makundi ya kiharamia jamii ya bokoharamu
Huko mbinguni kuna mito ya pombe za kila aina, hivyo vilivyo haramu huku duniani mbinguni ni halali kabisa hii ni kwa mujibu ya Qur'an kitabu kitakatifu
Hayo maneno aliyasema wapi?Unajua waislamu wana makundi yapatayo 72 kifupi (madhehebu) kwahiyo mtume ( s.a.w)/alisema kakika makundi hayo yote ni moja tu ndilo la ukweli ndio litakaloingia peponi kwahiyo kila mmoja yeye ndio mkweli mauaji hayataisha kwasababu hakuna wa kumfuata mwenziwe
Sent using Jamii Forums mobile app
huyo anayewapandikizia viongozi ni nani ? na kwa faida gani?Tambua kwamba viongozi wa kupandikizwa wamejaa kibao...kwa zama hizi kuna viongozi wanaopotosha na wapo ambao wanaiendeleza dini hii kwa haki na kuielimisha jamii kwa usahihi....uislamu hauna historia ya kigaidi na ugaidi hauna nafasi katika uislamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kiama kabisaSwali
Ivi haya makundi ya Siasa kali kama ISIS yakifaniliwa kuiteka dunia na kuitawala,
Hali itakuwaje ?
Naomba jibu.
Asante kwa kuniona.Duh! we unaamini kabisa hayo makundi yana dalili ya kuteka dunia? na unaamini kabisa hao wakubwa wa dunia wamewashindwa?
Kwani Population ya Muslims in Europe ni kubwa kuliko ya wazungu?kwa hiyo nyie kwenu dhambi ni vita tu? kwanza hamuoni kuwa wazungu ndo wanafuata mali za waarabu ndo mana wanawatibulia amani ili waweze kuchota mafuta yao, na DRC wamevurugwa ili watu wachukue almasi, juzi juzi wametibua libya..apa bongo pia tukiwanyima nyima dhahabu na gesi hawakawii kuwapa zanzibar au chadema silaha tupigane wao waendelee kuchota mali..
suala la watu fulani kukosa maadili ya kidini huwezi kusema ni kutokana na dini yao...tukianza kuchambua nchi za kikristo apa zenye mambo ya ajabu hatutamaliza ntakusaidia kidogo kitu...
tafuta research data za europe kuhusu yafuatayo uone kwanini muslim community inaheshimika sana europe
google police reports on below issue..
- number of muslim drunk and drive cases
- number of muslim women abuse cases
- number of muslim neighborhood violence cases
- number of muslim rape cases
- number of muslim young age clubbing and alcohol abuse cases
hutokuta kijana wa kiislam Ulaya kafanya vituko vya ajabu ajabu sijui gays, sijui lesbians, etc