UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Na mkristo aliyesoma sana biblia anafungua kanisa na kupiga hela.ALLAH WA Waislamu ANAMAADUI AMBAO NI WAKRISTO NA WAYAHUDI Allah wao ana maadui wake ambao ni Wakristo na Wayahudi
Quran. 4:51 na 57 (surat Al Maida)
Enyi mlioamini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika hao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
Ndiyo maana muislamu aliyesoma sana dini anakuwa na chuki na Wakristo au anakuwa mchawi
haha natania tu mkuu.