Quran na uislam zilipishana wapi na kwanini??

Wapi hujaelewa.

Nitakueleza kadri ya uwezo wangu.

Masuala ya dini siwezi chukia kabisa.

I have respect for all religions
 
Kwenye ushoga mnawakataa wazungu.
 
Hebu rudia tena..kwamba waislamu wa duniani kote waliandamana?
 
Sawa sawa umeeleza vizuri,mi nashangaa mtu anakataa ndoa za jinsia moja sio msimamo wa ukristo wakati anaona kabisa ndoa zinafungwa kanisani tu na kwa kikristo.

Shoga anaweza kuwa dini yeyote ila ni ukristo tu ndio imani yenye kufungisha ndoa zao.
 
Bible gani inazungumzia ushoga? mbona kule zenji kuna kufi --lwa kwa vibinti na ubakaji mkubwa na wafuasi wakubwa wa Mudy?
Hujisikii raha kama hujawataja mabwana zako zanzibar,ushaanza kuwashwa?
 
Anayefahamu chimbuko la neno kufira atuchambulie. Iko dini yenye asili hii ikaambukiza nyingine. Kiongozi wao mkuu alimwoa mke wa mwanae (mkamwana) nabado anapewa hadhi ya utume. Baba anamwoa mke w mwanae bado tumwite kiongozi wa kiroho??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Boko haram wao wameamua kujichukulia bikra 200 toka shuleni, wameburudika nazo kisha wamerejesha
 
Boko haram wao wameamua kujichukulia bikra 200 toka shuleni, wameburudika nazo kisha wamerejesha

"…Kwa hiyo basi, waueni watoto wote wa kiume na kila mwanamke aliyewahi kulala na mwanamume. Lakini msiwaue wasichana wote ambao hawajapata kulala na mwanamume; waacheni hai kwa ajili yenu wenyewe"
Hesabu 31:17-18
 
Huko kwa Biblia kuna USHOGA, KAMARI, UESHARATI, ULEVI ....mbona haya huyasemi?
Usiseme ivo ndugu

Mbona nyie kuna kifungu kinasema (wanawake ni mashamba yenu watumieni mnavotaka). Bas kwa mstari huo watu ndo wanawatigo wake zao
 
Huko kwa Biblia kuna USHOGA, KAMARI, UESHARATI, ULEVI ....mbona haya huyasemi?
Biblia haijawahi kubariki Ushoga!kamari wala Uasherati!
lakini Quran Tukufu inafundisha Ugomvi Kisasi na Ubakaji! Na kila Muumin wa dini fulani hufuata matendo makuu ya Mwanzilishi wa Imani yake.
 
 
Nipe fungu aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"…Kwa hiyo basi, waueni watoto wote wa kiume na kila mwanamke aliyewahi kulala na mwanamume. Lakini msiwaue wasichana wote ambao hawajapata kulala na mwanamume; waacheni hai kwa ajili yenu wenyewe"
Hesabu 31:17-18


Duuuh ngoja nikajisomee mwenyewe hili andiko
 
"…Kwa hiyo basi, waueni watoto wote wa kiume na kila mwanamke aliyewahi kulala na mwanamume. Lakini msiwaue wasichana wote ambao hawajapata kulala na mwanamume; waacheni hai kwa ajili yenu wenyewe"
Hesabu 31:17-18
Acha kupotosha watu wewe! Hilo andiko lilitoka kwa kipindi maalum kwa vita maalum na hicho ni kipande tu ulichokinukuu.
 
bora kutapeliwa kuliko, kufanya uasi, kumwaga damu, kubaka, na maovu kedekede kama hayo..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…