Umasikini wa fikra
Senior Member
- Aug 17, 2017
- 102
- 59
shkamoo mkuuHuko kwa Biblia kuna USHOGA, KAMARI, UESHARATI, ULEVI ....mbona haya huyasemi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shkamoo mkuuHuko kwa Biblia kuna USHOGA, KAMARI, UESHARATI, ULEVI ....mbona haya huyasemi?
kwel mkuuUSIHUUKUMU UISLAM KWA MATENDO YA WAISLAM.
UISLAM NI DINI ILIYO KAMILIKA.ILA WAISLAM HAWAJAKAMILIKA NDO MAANA KUNA MAKOSA NA KUOMBA MSAMAHA.
PEPO NA MOTO.
UISLAM SIO JINA ETI KISA NAITWA JUMA BASI NITAKWENDA PEPONI.ILA NI KWELI WAISLAM TUMEACHA MAFUNDISHO YA QURAN.TUKUMBUSHANE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pambana na hali yako mkuu. Acha kuchukulia vitu kwa uelewa wako mdg kama hujui kitu kaa kimya watakuja wenye kujua.Hujui kwamba matendo wanayoyafanya yameruhusiwa kwenye vitabu vyao wameamrishwa kuwatia hofu wasiofungamana na itikadi na imani zao lengo ikiwa kutaka kutawala ili wawanyanyase wanawake vizuri wajiolee hata wanawake hamsini hamsini
Rudia huo uchunguzi wakoNi Swali Najiuliza Ni Nchi Gan Ya Dini Yetu Hii Tukufu Cjui Kama Naweza Gugo Nikapata Nchi Ya Dini Hii Halafu Ikose Vita Labda Zanzbar Ambako Kuna Muungano Na Tanganyika Ila Dunia Nzima Hakuna
Wapendwa mwanajf, nawasalimia kwa heshima zote!
Wote tuliopo hai duniani leo hii Dini zote tulizikuta zipo baadaye tukaaminishwa na kuamini tulichoambiwa!
Thread hii haitafuti dini IPI bora wala dhehebu lipi bora kuliko jingine.
Quran ni maandiko matakatifu katika imani za kiislam ambacho kuna machache ya yaliyomo katika Agano la kale ndani ya bibilia yamo pia katika quran.
Quran imeandikwa vizuri tu lakini lugha iliyotumika huenda haieleweki kwa wasomaji wengi ndio maana waislam walio wengi ni wepesi sana kushawishika hata kutenda maovu ambayo hata kitabu cha quran hakijayagusia hata chembe.
Jambo hili limekuwa nikinifanye ni waze sana kila mara kwa nini waislam wengi hushawishika kirahisi kutenda maovu hata mara tu wakitoka nje ya jengo la Ibaada?
Kwa nini makundi ya kiharifu yamejaza vijana wengi wa kiislam?
Kwa nini Boko haram hutembea na quran huku wakiendesha mauji holela?
Kwanini kundi la alshabab, Islamic state, alqaida, Abboosafayy, Alnusrrah nk wote hutembea na quran huku wakiendesha mauaji ya holela?
Kitu gani huwafanya waislam watofautiane na kitabu kitakatifu hicho cha Quran?
Tupia jicho mataifa yote ya kiislam utakuta mengi yana vurugu nyingi lakini Quran IPO na husomwa kila Siku.
Je quran imeelekeza kutopenda amani? Au viongozi walioenda masomo zaidi ya kuifahamu Quran ndio wapotoshaji wakubwa kwa waumini waumini wao?
Karibuni tuelimishane vizuri kwa kuepuka lugha chafu ili tusimkosee Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ume refer andiko gani Mkuu??Upeo wa mleta mada ni mdogo sana, wacha nikupe somo dogo: dunia haiwezi kuisha mpaka uislam utawale dunia; katika utawala huo ifikie muda ukisahau smart phone yako sehemu yoyote hakuna wakuichukua, sasa harakati za kutawala zinaweza chukua hata miaka elfu tano ijayo na zinaanza taratibu sana kiasi ya kwamba huwezi kuhisi kama kitu flani kinaweza kuwa. Vita vinatokea sehemu ambako waislam wako wengi, then wachache wanahamia ulaya kama wakimbizi, baadaye wanazaliana na kuwa wengi huko ulaya na amerika wanaanza kushika nafasi nyeti baadaye unakuta wametawala ulaya na amerika. Hatimaye dunia nzima, hii kitu inaweza kuchuka miaka mingi sana, wala usiwaze kama dunia inaisha leo au kesho
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku zote hakuna kitu kisicho na thaman kitakua na purukushan katika nchi zote unazojua we nitajie hata moja ambayo hakuna fitina za nchi za maghrib taja moja tu sio mbili na unajua maana ya neno Uislam unajua kwann jiji hili linaitwa Dar es salaamNi Swali Najiuliza Ni Nchi Gan Ya Dini Yetu Hii Tukufu Cjui Kama Naweza Gugo Nikapata Nchi Ya Dini Hii Halafu Ikose Vita Labda Zanzbar Ambako Kuna Muungano Na Tanganyika Ila Dunia Nzima Hakuna
[emoji106] [emoji817] [emoji818]Mti wenye matunda,ndio upigwao mawe.Makundi yote ya kihalifu,yanaanzishwa na nchi za magharibi,kwa kutumia mgongo wa uislamu,mbona hii imeshajulikana mda mrefu,au wewe ndio mpya mitandaoni?
Huwezi kuzaa sana km huna nguvu za kiume [emoji60] [emoji124]Moja ya mikajati yao nikuzaana sana ili waweze kutawala wakristo wanasema wakristo huzaa watoto wawili tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona wanikebehi wakati nataka kujifunza ili nijue kwa nini makundi yao yafanye vile? Sijatupia thread hii kutafuta dhehebu gani ni bora kuliko jingine.Nakuomba tu tuelimishane vizuri. Nashukuru umegusia machache.kwanza nikupe pole kwa kutumia fikraa zako kuwaza kitu kibovu katika vitu vibovu ni kheiri ungekaa na kuwaza mapenzi kuliko kuwa ulichokiwa hicho ilibidii ujee kuuliza na sio kutoa thread ambayo haujaletaa prove yoyote .
LUGHA YA QUR AN .
wew ndio hauifahamu ila wanayoisomaa na wanahusika nayoo wanajifahamu na kuielewa pia.
MAKUNDI ;
kwanza unatakiwa urudi darsani kidogo ujuee tofuti ya mujahidina na ahal kitaru pia unatakiwa unapost katika ukurasa wq intelligence basii uwe na mbogo nzurii yaani nashngaa www mpaka leo haujazinduka nakujua nin boko haramu au ISSS au al qaida harafu unapost threads humu why.
Tafuta tafsiri harisi ya hayoo magrouop then utaona nyuma yao kuna nini.
wapo watu wengii wanaotumia dini au alama ya dini kwa aina kupotosha ya wenzaoo mfano muone seneter wa Austalia jana amevaa nikabu na kuingia bungeni ili kushinika ifungiwe ndio dunia ya leo na harakari zakumpoteza muislamu.
ADVICES; Kuna programs ambazo maprogramer wanakuandaa www now na kukuaminishia kuwa dini ya uislamu ni mbaya na now wqshakuchukua 3/4 ya ubongo wako kuamini hili sasa basii watakiwa ubadilikee ili wakishamaliza kukuaminisha kwa waislamu watakuja kwenye dini yako .
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ungekuwa Karibu ningekununulia hata soda, ulichooleza ni kweli kabisa.Watu wengi waliotoa comment zao ni mipasho badala ya kutoa elimu ili pengine kupitia humu watu wengi wafunguke zaidi na wajitolee kupinga mambo mabaya yanayofanywa na makundi hayo maovu. Inasikitisha kusikia matendo yanayofanywa na boko haram, IS, Alshabab nk yanatendeka huku akitumia uislam na lakini waislam wamekaa kimyaa tu na wengine hata kutoa ufadhili kama nchi iliyotengwa hivi Karibuni kwa kutoa ufadhili kwa Islamic state.Hivi ni kwanini waislamu wengi wana tabia ya kujichukulia chini,hawajikubari,hawajiamini!!!!!.
Mimi nilitegemea jibu la hili swali liwe moja tu,kwamba hatujafundishwa kuua MTU,wala kupigana wenyewe.Ila wanaofanya hayo sio waislam wako mbali na uislam,na ili kuweka mambo sawa tunaandamana kuwapinga,kuichafua Quran,sioni haya Ila kojolea msaafu uone balaa.
Badala yake naona mipasho tu humu,Mara wivu,uislam unakuwa,uislam unachafuliwa.
Kwa malengo gani sasa watu wanauchafua????
Hayo makundi yote uliyoyataja hayahusiani na Uislam wala Qur'an...kabla ya miaka 50 hayakuwepo wakati Uislam upo kabla ya 1400Wapendwa mwanajf, nawasalimia kwa heshima zote!
Wote tuliopo hai duniani leo hii Dini zote tulizikuta zipo baadaye tukaaminishwa na kuamini tulichoambiwa!
Thread hii haitafuti dini IPI bora wala dhehebu lipi bora kuliko jingine.
Quran ni maandiko matakatifu katika imani za kiislam ambacho kuna machache ya yaliyomo katika Agano la kale ndani ya bibilia yamo pia katika quran.
Quran imeandikwa vizuri tu lakini lugha iliyotumika huenda haieleweki kwa wasomaji wengi ndio maana waislam walio wengi ni wepesi sana kushawishika hata kutenda maovu ambayo hata kitabu cha quran hakijayagusia hata chembe.
Jambo hili limekuwa nikinifanye ni waze sana kila mara kwa nini waislam wengi hushawishika kirahisi kutenda maovu hata mara tu wakitoka nje ya jengo la Ibaada?
Kwa nini makundi ya kiharifu yamejaza vijana wengi wa kiislam?
Kwa nini Boko haram hutembea na quran huku wakiendesha mauji holela?
Kwanini kundi la alshabab, Islamic state, alqaida, Abboosafayy, Alnusrrah nk wote hutembea na quran huku wakiendesha mauaji ya holela?
Kitu gani huwafanya waislam watofautiane na kitabu kitakatifu hicho cha Quran?
Tupia jicho mataifa yote ya kiislam utakuta mengi yana vurugu nyingi lakini Quran IPO na husomwa kila Siku.
Je quran imeelekeza kutopenda amani? Au viongozi walioenda masomo zaidi ya kuifahamu Quran ndio wapotoshaji wakubwa kwa waumini waumini wao?
Karibuni tuelimishane vizuri kwa kuepuka lugha chafu ili tusimkosee Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni kupotosha diniHujui kwamba matendo wanayoyafanya yameruhusiwa kwenye vitabu vyao wameamrishwa kuwatia hofu wasiofungamana na itikadi na imani zao lengo ikiwa kutaka kutawala ili wawanyanyase wanawake vizuri wajiolee hata wanawake hamsini hamsini