"R-chuga" enzi hizoo!

"R-chuga" enzi hizoo!

jmushi1

Platinum Member
Joined
Nov 2, 2007
Posts
26,329
Reaction score
25,263
Maasai enzi hizo...Picha hizi ni kwa hisani ya tzaffairs.org,wana Arusha mnakumbuka?

arusha_safari_hotel_1961.jpg

arusha_1961.jpg
 
Si ndiyo chini ya safari hotel kulikuwa na CAVE DISCO?

Nakumbuka kwenda kumtembelea Marehemu dada yangu aliyekuwa kafikia hapo Safari hotel.

Walikuwa wakipiga Classic music na sikuweza kuona spika zake...... Nikawavulia kofia.
 
Si ndiyo chini ya safari hotel kulikuwa na CAVE DISCO?

Nakumbuka kwenda kumtembelea Marehemu dada yangu aliyekuwa kafikia hapo Safari hotel.

Walikuwa wakipiga Classic music na sikuweza kuona spika zake...... Nikawavulia kofia.
Duuh!mzima mzima unakumbuka?Hiyo ilikuwepo pia hata miaka ya mwanzo ya 90.Kulikuwa raha bana!
 
Bwana wee,
Ulikuweko kweli enzi hizo? Haki ya nani, umenkumbusha mbaaali sana. Dar kwenda Arusha wiki.
Ha ha ha!umenichekesha kweli,usafiri gani?Treni siyo?Lakini kweli barabara ya Dar Arusha ilikuwa mbaya hata miaka ya karibuni nadhani 90's,mabasi yalikuwa yakisafiri usiku tu.
 
Back
Top Bottom