Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I don't know exactly where do they get such guts... Ila ndo omboleza ya kidigitaliWanakuja kuomboleza na familia ya JF..Where do they get this courage?
Pole sana kwa msiba.Pumzika kwa a man I babamkubwa wangu..
Umetuachia pengo kubwa kwenye familia, ulitupenda sana wanao. Tutamiss hekema na upendo wako Baba mkubwa Inshallah Allah akuremu
Amin.
Misiba ilikuwa zamani.... watu waliomboleza kwa heshima na walikuwa na muda wa kutafakari na kuhakikisha marehemu anasitirika na kuombewa. Sikuu hizi msiba ni maonyesho kuanzia mavazi na mashindano ya vyakula. Hakuna staha kwa marehemu anaweza pigwa picha akiwa mdomo waziiii.... kila mmoja ana haraka ya kutoa taarifa ya msiba ili awe wa kwanza kuongea. Ili mradi tafurani..... Hakuna mwenye muda wa kumuombolezea marehemu.....I don't know exactly where do they get such guts... Ila ndo omboleza ya kidigitali
Mondray pole. IlaNa una muona mfiwa akijibu comments kila dakika.
sasa sijui hata hizo shughuli za msibani anazifanya saa ngapi..?
haya mambo ndio yamepelekea mpaka kukawa na vikundii vya
kulia na kuomboleza kwa kugaa gaa msibani huku wafiwa wakiwa
online kutoa updates and kujibu comments za msiba.
Mwafwaaaaa.....
Maskini jamani !!!sijui wamekumbuka kumlaza na data za kutosha,maana huko hakuna.R.I.P mshua wa Mondray
Pole sana kwa kuomboleza msiba wa baba yako mkubwa "online".
Ndio maendeleo yenyewe haya ya kidigitali.
Maskini jamani !!!sijui wamekumbuka kumlaza na data za kutosha,maana huko hakuna.R.I.P mshua wa Mondray
Pole sana kwa kuomboleza msiba wa baba yako mkubwa "online".
Ndio maendeleo yenyewe haya ya kidigitali.
dah! mkuu umenena vema. This is too much!..Na una muona mfiwa akijibu comments kila dakika.
sasa sijui hata hizo shughuli za msibani anazifanya saa ngapi..?
haya mambo ndio yamepelekea mpaka kukawa na vikundii vya
kulia na kuomboleza kwa kugaa gaa msibani huku wafiwa wakiwa
online kutoa updates and kujibu comments za msiba.
Mwafwaaaaa.....