Medecin
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 8,221
- 22,496
Mboga sabaNina miaka 28, pamoja na huu umri nimezimaliza tom and jerry zote na bado narudia rudia, huwa nacheka kama mtoto....RIP
Au modds mnasemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mboga sabaNina miaka 28, pamoja na huu umri nimezimaliza tom and jerry zote na bado narudia rudia, huwa nacheka kama mtoto....RIP
Maisha ya tom na jerry pia huwa najifunza vitu vingi sana.Kinachonifurahisha wao hawaongei ni vitendo tu
Fred Quimby alikuaga nani?
Yah mkuu hujakosea, mzee Wangu alihaso sana ili nichague mboga ya kula na ninaendeleza huu utamaduni na chalii wangu anachagua mboga hapa.Mboga saba
Au modds mnasemaje?
Kuna moja Tom aliangukiwa na kabati ktk mishe zake, Akafa sasa mbinguni kuna geti na malaika anakuonesha njia either ya motoni, akataka aingie kimagumashi mbinguni..akakamwatwaKatika episodes zote episode waliyozingua ni ile ya mwisho inayoitwa "Blue Cat Blues" 1956, Tom alikuwa depressed sababu demu wake alikua gold digger so hakumpenda Tom kwa hali yake akampenda butch (jamaa mwenye pesa) ,Tom kuona hivyo akaamua ku-commit suicide kwa kwenda kukaa kwenye njia ya reli.. ile episode haikupaswa kuwepo kabisa kwa watoto.
Kuna moja Tom aliangukiwa na kabati ktk mishe zake, Akafa sasa mbinguni kuna geti na malaika anakuonesha njia either ya motoni, akataka aingie kimagumashi mbinguni..akakamwatwa
Akaambiwa Wewe ni wa motoni na salama yako labda urudi duniani umuombe jerry msamaha, akapewa na hati kama akisamehewa jerry aisign. Utamu wake sasa katika kumshawishi jerry asign ile hati huku muda aliopewa ukizidi kuisha
Sent using Jamii Forums mobile app
hao walikuwa producersCreator wa Tom n Jerry navyojua ni William Hanna and Joseph Babera
Ambao wame create cartoon nyingi zilizooneshwa Cartoon network kama Scoby Doo, Flintstones, Jetsons nk.
Sent using Jamii Forums mobile app
Even me najuaga ni za Fred QuimbyBut Tom & Jerry najua zilikuwa za mwamba Fred Quimby kumbe mchoraji ni huyu mzee?
+1Kwanza nahisi watoto huwa wanacheka tu zile action za kikatuni lakini ili uzielewe lazima uwe na akili timamu, huyu jamaa katumia akili kubwa sana.
Ipi ni the best kuliko zote niitafute?Nina miaka 28, pamoja na huu umri nimezimaliza tom and jerry zote na bado narudia rudia, huwa nacheka kama mtoto....RIP
wewe nend tu youtube andika tom and jerry, zjnakuaga na dakika 3 tu ila nzuriIpi ni the best kuliko zote niitafute?
Sawa mkuuwewe nend tu youtube andika tom and jerry, zjnakuaga na dakika 3 tu ila nzuri
anza na moja .inaitwa pecos pest, au Tom's photo finnishNaomba mniambie the best kuliko zote ni ipi niicheki kisha nitaleta mrejesho hapa