R.I.P kwa dogo aitwaye Joti, tulikupenda ila ndo hivyo tena.

Umetisha mdau. Watanzania mpende kusoma. Unapofungua thread soma tarehe mwezi na mwaka wa hiyo topic na kisha pima kama ina make sense to add a comment(unakuta li mtu lina comment topic ya mwaka 2008 ambayo si endelevu au haihitajiki comments kwa sababu tu ya kutosoma tarehe au kuwa na akili za ndorobo). Kisha pia angalia topic ipo ktk forum gani juu kabisa, na tambua username ya mwanzisha uzidi kisha endelea.
 
Satoote kwako mkuu
 
...Joti alikuwa ni kijana mcheshi,mstaarabu,tabia yake ilibadilika na kuanza mambo ya ajabu .

kifo chake kimenihuzunisha sana,kwani sikutegemea kama angeondoka mapema hivi.
..ukimwi umeondoka na kijana huyu.
ukitaka kumjua zaidi soma kitabu cha 'kilio chetu'.Amemuambukiza Suzi ukimwi.
nimehuzunika sana,R I P JOTI.
kama umesoma kitabu hiki unazungumziaje maudhui yake?
 
Hivi bei ya kilo ya nyanya kwa sasa ni shilingi ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…