R.I.P mwanaJF!

Mkuu PK kuna watu kule nikija kujua kua ni dingi,maza,mjomba au shangazi hakika ntazimia! Hahaha!

Ndo maana ukaambiwa uingie kwa risk yako...hata ukimgundua ma-mkwe kule we kauka, ndo utu uzima(dont tell me iam speaking to a teen-ager here!)...Sa kama unahisi we ni wa kuzimia kwann uliomba access?.,lets be rational smtmz people!
 
Pumziko la milele up ewe na bwana ewe abuu
 
Raha ya milele umwangazie eee Bwana Yesu. Pia kwa Anonym hawapendi majia yaoa halisi na ID kujulikana!! Unless umeamua kutumia jina lako halisi kama wengine walivyo hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…