Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Kazi iendelee.Nakusalimu kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania[emoji4]
Umepotea humu best
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi iendelee.Nakusalimu kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania[emoji4]
Kazi iendelee.
Umepotea humu best
Pole sana.Best weee majanga tu ya dunia ila nimerudi sasa
Binti mwenyewe alisema "umri si kitu bali ni tarakimu tu". Sisi ni Nani tushoboke wakati " Mliwaji" alitushushua?Kwa matendo ya R Kelly sio kifungo wala adhabu ya kifo inamfaa
Wazazi wenye wamezaa watoto wakawalea wanaelewa mtoto wa 14 15yrs anafananaje
Pole sana.
Ndio maisha, karibu tena
Binti mwenyewe alisema "umri si kitu bali ni tarakimu tu". Sisi ni Nani tushoboke wakati " Mliwaji" alitushushua?
Huyu sio Aaliyah [emoji848]mwanamke mkuu alikuwa ni staa mkubwa wa music na movie ana hit song yake inaitwa try again na ameigiza movie na dmx na jet lee nazani kama sio craddle to the grave basi ni romeo must die.
View attachment 1880611
MJ alikuwa hadindishii...wazungu waongo sanaUpo sahihi 100%
Iyo ndio inaitwa white supremacy.
R Kelly, OJ Simpson, Billy Cosby, Michael Jackson and the cycle continues.
Huyu si Aaliyahmwanamke mkuu alikuwa ni staa mkubwa wa music na movie ana hit song yake inaitwa try again na ameigiza movie na dmx na jet lee nazani kama sio craddle to the grave basi ni romeo must die.
View attachment 1880611
So watasha ndio walimtuma King of RNB atembee na vitoto vya underage?!So watasha wameamua R Kelly wangu afie jela?[emoji22][emoji22]
Mambo ya Aaliyah marehemu yanaingiaje hapa
Wazungu wanajua kulindanaWatu weusi wengi wakishika hela huwa akili zinawaenda mbio. Mi sijawahiona wasanii wazungu au wazungu matajiri wameshika shika hela na kutamba nazo.
Baadaye kiburi cha hizi hela kikibackfire ndio utasikia tunabaguliwa.
I don't know about that, sema kinachoongelewa ni kwamba aliuliwa na wakati anauliwa alikuwa amekata life insurance amounting to 1B USDMJ alikuwa hadindishii...wazungu waongo sana
Jela ya US Ni tofaut na za dunia ya 3Huyu NGULI wa R&B ataozea jela
Shida cc watu weusi.ndio tuna penda kuangushana. Sio.km wazungu hawafanyiani mambo kama ya r kelly tatzo cc watu weusi angalia hata ndoa za mastar weusi always kupelekana kwenye mahakama masuala ya kifamilia kwao ndio jadi. Lakn wazungu hawafanyi hivyo. Binti wa kiafrika anatongozwa vzr anakubali anaitwa ili wafanye yao anaenda mahakamani ooh nimenyanyaswa kimapenzi sijui nimedhulumiwa nk.ili alipwe mamillions ya mwenzie bure bure aisee.Watu weusi wengi wakishika hela huwa akili zinawaenda mbio. Mi sijawahiona wasanii wazungu au wazungu matajiri wameshika shika hela na kutamba nazo.
Baadaye kiburi cha hizi hela kikibackfire ndio utasikia tunabaguliwa.
Hii sheria kiukweli iangaliwe maana huo umri wa 18 tayar ni mjuz wa mamboKule UK 16 unafumua hamna tatizo mradi asiwe mwanafunzi wa Sekondari tu.