Waafrika tuna tatizo.Nimesoma mahali, kuna watu wakizungumzia suala la nguli huyu kufungwa jela miaka 30 kwa makosa ya unyanyasaji wa kingono kwa watoto wadogo kwa kutumia nguvu ya ushawishi wake.
Kwamba ni jambo liliopangwa kimkakati na hawa devil worshippers kama walivyomfanya Michael Jackson.
Je, kuna mtu ana taarifa kamili kuhusiana na sakata hill?
Hata hivyo ni kama sitarajii sana taarifa nyingi ama uzi huu kuendelea kwa vile nguvu ya hawa jamaa ni kubwa sana na huenda hata humu wamo wengi tu.
Hata hivyo bado naamini kuna watumishi wa Mungu muumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo wanaweza kuwa wanajua.
Nawakaribisha katika uzi huu
Kwa hiyo point yako ni kwamba mtu mashuhuri akishitakiwa kwa uharifu ni mambl ya devil worshipers au sio?Angalia kwanza kiapo chao kinachopatikana kwenye kitabu cha NEW WORLD ORDER ndo utajua hao jamaa huwezi kujitoa ni either wa kuue au wakupe kesi mfano wa r Kelly na hata Christian Ronaldo hyo kesi anayo inakuja na kuzimwa ila siku akija kuzingua wanamrudisha na hyo ndo nguvu yao.View attachment 2278588View attachment 2278589
Weupe hawabaki sio..Watu weusi wengi Tabia za ubakaji na ulawiti ni kawaida , na hata huyo Michael Jackson mwenyewe alikuwa mbakaji ,Bill Cosby na huyu R Kelly
Tafuta documentary moja hivi inaitwa Surviving R. Kelly ndipo utajua ushenzi wa huyo nguli wako.Nimesoma mahali, kuna watu wakizungumzia suala la nguli huyu kufungwa jela miaka 30 kwa makosa ya unyanyasaji wa kingono kwa watoto wadogo kwa kutumia nguvu ya ushawishi wake.
Kwamba ni jambo liliopangwa kimkakati na hawa devil worshippers kama walivyomfanya Michael Jackson.
Je, kuna mtu ana taarifa kamili kuhusiana na sakata hill?
Hata hivyo ni kama sitarajii sana taarifa nyingi ama uzi huu kuendelea kwa vile nguvu ya hawa jamaa ni kubwa sana na huenda hata humu wamo wengi tu.
Hata hivyo bado naamini kuna watumishi wa Mungu muumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo wanaweza kuwa wanajua.
Nawakaribisha katika uzi huu
Hizi ndio story mnazopenda wabongo, yaani ubuyu kama mnavyouita wenyewe, mnaupenda sana.That is true huyu jamaa aliwakataa hawa illuminat na aliwaripua live akiwa stejini na walishataka kumuua mara mbili pia R.kelly na Jzee wana bifu la maisha hawajawahi kuelewana maana Jayz kawamaliza ma rapa wote ilr abaki yeye kwa mfano Nas,Dr.Dre,Jahrule,ila kwa R kely alishindwa,kumbuka R kelly kesha koswa kupigwa risasi mara kadhaa akiwa live stejini.
Wewe utakuwa IBILISI unaogopa siri zako kufichuliwa.Nikionaga Mambo kama hizi naskia hasira acheni kudiscuss vitu havina mana hizi ni story za kufikirika
Kwani kesi zake zimeanza mwaka huu au mwka jana ?Miaka 15 kafikisha leo? Kipindi hicho hakua na miaka 15? Kwanini leo na si then muhoji haya?
Wewe ulikuwepo wakati anajiunga na waabudu shetani ? Au wewe ndiye shetani mwenyewe ?Wewe unaamini hizo propaganda? Au ulikuwepo wakati analawiti?
Upuuzi mtupu.Angalia kwanza kiapo chao kinachopatikana kwenye kitabu cha NEW WORLD ORDER ndo utajua hao jamaa huwezi kujitoa ni either wa kuue au wakupe kesi mfano wa r Kelly na hata Christian Ronaldo hyo kesi anayo inakuja na kuzimwa ila siku akija kuzingua wanamrudisha na hyo ndo nguvu yao.View attachment 2278588View attachment 2278589
Kwa hiyo Jay Z n beyonce wataishi milele ?Alipewa umaarufu na shetani SAsa akataka kumkimbia shetani, akaliwa kichwa. Hela ya shetani haiendi bure. Upewe kesi, uuliwe, ufungwe. Ukiamua kuwa kwa shetani kaa jumla kama Jay z na mkewe, ukianza mguu ndani mguu nje yaani kwa shetani upo na kwa Mungu upo lazima yakupate yaliyowapata kina bob marley, tupac, big small, kobe bryant, Aaliyah, left eye, dmx, michael jackson, witness houston and more.
Wanamlia timing Justin Bieber.
We are grown in a lawless society hadi tunaona uvunjwaji wa haki za watoto ni jambo la kawaida tu.Watu weusi wengi Tabia za ubakaji na ulawiti ni kawaida , na hata huyo Michael Jackson mwenyewe alikuwa mbakaji ,Bill Cosby na huyu R Kelly
Ulikuwepo wakati analawiti?We are grown in a lawless society hadi tunaona uvunjwaji wa haki za watoto ni jambo la kawaida tu.
Wewe ulikuwepo wakati anajiunga na waabudu shetani au wewe ndiye li shetani lenyewe linalowapa watu ujasiri wa kulawiti watoto ?Ulikuwepo wakati analawiti?
Au wewe ndio ulilawitiwa na huyo R Kelly?
Pole kwa kulawitiwa.Wewe ulikuwepo wakati anajiunga na waabudu shetani au wewe ndiye li shetani lenyewe linalowapa watu ujasiri wa kulawiti watoto ?
Huyo ni Jeffrey Epstein. Amesababisha Prince Andrew kuvuliwa vyeo vyake vyote kama mtoto wa Malkia wa Uingereza. Uhusiano wake na Bill Gates ndiyo umesababisha Belinda Gates kudivorce na mume wake.Waafrika tuna tatizo.
Huyu jamaa hizi habari zipo kitambo na kuna habari ya kumuoa Aliyah akiwa under age hadi kabinti kakaimba age aint nothing but a number.
Uzuri kwa wenzetu hata uwe ulitenda kosa ukiwa kijana linaweza kukufunga uzeeni.
Napenda sana mangoma yake ila ndo sheria imechukua mkondo wake hakuna cha ubaguzi wa rangi wala nini.
Hii sheria ni kali, unamkumbuka yule bilionea ambaye alikuwa ni influence kubwa sana na alikuwa na ukaribu na prince wa Uingereza? Alikuwa anamtumia ex wake kumletea vidosho under age naye yalimkuta ya Rkelly akakamatwa akajinyonga akiwa gerezani, ila kuna taarifa zinasema kuwa aliuawa kwasababu alikuwa karibu sana na vigogo kama akina bill gates, húyo prince wa Uingereza na wanasiasa ambao pia inasemekana alikuwa akiwapa hao vidosho walale nao kwenye ndege yake.
Jamaa siku mbili kabla ya kujinyonga alidonate mali zake zote nje ya marekani ili wanaomshtaki wakishinda wasipate fidia kutoka kwake.
Jumba bovu likamwangukia ex wale ambaye ananyea debe now.
Sex with minors ni kesi kubwa sana kwao. Hata Akili the brain kuna kipindi alidakwa Marekani kwa issue kama hii sijui alichomoka vipi
Yah huyo huyo jamaaHuyo ni Jeffrey Epstein. Amesababisha Prince Andrew kuvuliwa vyeo vyake vyote kama mtoto wa Malkia wa Uingereza. Uhusiano wake na Bill Gates ndiyo umesababisha Belinda Gates kudivorce na mume wake.
Napenda sana channel ya ID. Tena wengi waliofanya makosa miaka ya 70 hadi 90 mwanzoni walikuja kukamatwa baada ya sayansi ya DNA kuanza kutumika. Wenzetu wanatunza vidhibiti kwa miaka mingi sana.Kwa hiyo point yako ni kwamba mtu mashuhuri akishitakiwa kwa uharifu ni mambl ya devil worshipers au sio?
Haijalishi ni maarufu au tajiri kila mtu anaweza tenda kosa na akafungwa.
Na Marekani haijalishi ulifanya kosa lini, ishahidi ukipatikana hata una miaka 90 utashitakiwa tu.
Kama wewe ni mtazamajiwa IDx utaona watu walitenda kosa miaka ya 80, 90 wanakuja kufungwa miaka ya 2000 wakiwa wana wajukuu na washasahau kuhusu hilo