R Kelly’s lawyer confirms singer’s marriage to Aaliyah when she was just 15

R Kelly’s lawyer confirms singer’s marriage to Aaliyah when she was just 15

Daah nimeona mtoto wake kamchana kinoma anasema hamtambui ...kwanza hana msaada na familiar ..daah kweli ulimwengu una kanuni zake ukizikosea tu lazima ukuadhibu

Jela ilee inamuita kellis " Tatizo uteja ndio una mmaliza

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa ushahidi wa safari hii lazma aende nyuma ya nondo... kesi zote zilizopita alitumia hela kuwalipa victims wakawa hawatoi ushirikiano kwa mahakama so jamaa akawa anaachiwa .

ila this time amekwisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muulize wale ma padree wa RC wenye kesi za ulawiti ni wazungu !?
Sio weusi tu, labda ni kuwa una notice haraka kulinganisha na za wengine.

Christiano Ronaldo ana msala wake, Muigizaji maarufu na mshindi wa Oscar, Kevin Spacey ana tuhuma za 'kumnyanyasa' dogo wa kiume miaka 18.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Artist- DREA KELLY ( RKELLY EX WIFE
Song- I admit Remix

'diss track to kelly's I admit it'


Admit it Admit it Admit it Your mama IS watching over you And rolling over in her grave because of the ABUSIVE things you do,”

“You say she’s looking down from heaven So there’s nothing she didn’t see Which means she saw you BEAT me from heaven and neglect her grand babies.

“Admit it Admit it Admit it Your children you don’t see Because you treat them like your fans And not your flesh and blood, please.

Being a dead beat dad is a conscious choice You could face time w them EVERYDAY they’d SEE your face and HEAR your voice,

Admit it Admit it Admit it Then go get some professional help.

Own the pain that you’ve inflicted on others’ All by yourself.
Even though you can’t read or write it didn’t stop you from making hit songs.

But you don’t have to read or write to know Domestic Violence is wrong, so….

Admit it Admit it Admit it Your past is not is an excuse Just because you were abused doesn’t mean you get to ABUSE.

“Admit it Admit it Admit it Cause the TRUTH will set you free. Nothing good is gonna come to you. UNTIL YOU DO RIGHT BY ME

Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah kwahiyo yule manzi ndio kamjibu hivi !?...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah nimeona mtoto wake kamchana kinoma anasema hamtambui ...kwanza hana msaada na familiar ..daah kweli ulimwengu una kanuni zake ukizikosea tu lazima ukuadhibu

Jela ilee inamuita kellis " Tatizo uteja ndio una mmaliza

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ndo upumbavu wa Black America wanaongeaga ujinga tu mtu mama yake kamwagiwa shahawa mpaka kazaliwa leo kaachwa imekuwa nongwa,je wangekuwa ndani ya ndoa angeropoka huo ujinga
 
yah yule ex wife wake ...baada ya r kelly kutoa ile i admit it ambayo kiuhalisia ni kama alikuwa anafanya trolling kwenye ishu ya maana ndio yule demu akamjibu hivyo

ukicheki lyrics za demu ndio zipo konki na zinaleta maana

Sent using Jamii Forums mobile app
Dahh . Hili suala limesha pelekwa mahakamani ...!!? Kama bado hao wanao lalamika kufanyiwa unyanyasaji wana subiri nini !?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli hakuna mwanaume mwenye muda na mimi ila mashoga wengine ambao wanatetea mama zao kupulizwa wakiwa na miaka12 na mijitu ya miaka30 wana muda na mimi na kunijibu. Binti yako pia akiwa na miaka8 tutaanza kumpitishia pipe kama umteteavyo R. Kelly
Hamna mwanaume mwenye muda na wewe shoga wa lumumba
 
Tayari kesi ya jinai imeanza kuchunguzwa juu ya hili na wote wanaohusikia wanaombwa kutoa ushirikiano. Hakika round hii hawezi kusalimika, ataishia nyuma ya nondo
Dahh . Hili suala limesha pelekwa mahakamani ...!!? Kama bado hao wanao lalamika kufanyiwa unyanyasaji wana subiri nini !?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dahh . Hili suala limesha pelekwa mahakamani ...!!? Kama bado hao wanao lalamika kufanyiwa unyanyasaji wana subiri nini !?

Sent using Jamii Forums mobile app
tayari District artoney amelipeleka ofisini so now ipo chizi ya uchunguzi ukikamilika jamaa anakamatwa...

ila maisha yake yameshakuwa magumu juzi alikuwa anapiga story na mademu wawili kwenye trump tower raia wema wakapiga simu kuwa rkelly anahatarisha usalama wa wale mademu polisi ghafla wakaja wakamkata jamaa sema mademu wakamuokoa wakasema hakuna tatizo

ila wazazi wa hao mademu wakaenda vyombo vya habari wakasema walishawahi kugombana na rkelly kisa alikuwa anawachanganya watoto wao(hao mademu) na kuwanyisha threesome

jamaa hana pakuchomokea this time

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tayari District artoney amelipeleka ofisini so now ipo chizi ya uchunguzi ukikamilika jamaa anakamatwa...

ila maisha yake yameshakuwa magumu juzi alikuwa anapiga story na mademu wawili kwenye trump tower raia wema wakapiga simu kuwa rkelly anahatarisha usalama wa wale mademu polisi ghafla wakaja wakamkata jamaa sema mademu wakamuokoa wakasema hakuna tatizo

ila wazazi wa hao mademu wakaenda vyombo vya habari wakasema walishawahi kugombana na rkelly kisa alikuwa anawachanganya watoto wao(hao mademu) na kuwanyisha threesome

jamaa hana pakuchomokea this time

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani saa wanafanya hiyo makitu unayosema alikuwa amewakaba ,amewashikia bunduki au walitaka?
 
Kwani saa wanafanya hiyo makitu unayosema alikuwa amewakaba ,amewashikia bunduki au walitaka?
hahahah mkuu hata kama walitaka tatizo sheria haitambui ngono na mtu chini ya 18 yrs

hapa naona kilichomkuta Bill Cosby ndio kinamkuta na rkelly ..

sema hawa jamaa kesi zao hizi huwa zinadumu sana so kelly anaweza kuingia jela mwaka 2026 huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli hakuna mwanaume mwenye muda na mimi ila mashoga wengine ambao wanatetea mama zao kupulizwa wakiwa na miaka12 na mijitu ya miaka30 wana muda na mimi na kunijibu. Binti yako pia akiwa na miaka8 tutaanza kumpitishia pipe kama umteteavyo R. Kelly
Sasa wewe shoga binti yangu utamfanya nini wakati wote mko sawa tu
 
hahahah mkuu hata kama walitaka tatizo sheria haitambui ngono na mtu chini ya 18 yrs

hapa naona kilichomkuta Bill Cosby ndio kinamkuta na rkelly ..

sema hawa jamaa kesi zao hizi huwa zinadumu sana so kelly anaweza kuingia jela mwaka 2026 huko

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana nasema black America huwa ni wapuuzi sana,huwezi kuta mtoto wa tasha au ex wake wanfanya upumbavu kama huu anaofanyiwa Kelly
 
Back
Top Bottom