Nina mashaka na hii "best artist ever" bado sana kwa ROMA kuwa best artist ever,
kuna ambavyo vinamsaidia roma kupanda chati, ki2 kikubwa ana bahati ya kupendwa(nyota inang'aa)
anajua kuandika sana lakini tatizo lake anaimba kwa style ambayo inachosha, ukiliza mechi za ugenini, mathematics na hata hii 2030 style ya uimbaji haibadiliki,
kama angekuwa anaimba kwa style aliyoimba nyimbo ya mvua na jua rmx akiwa na jmo, ningekubali kidogo kwamba ni best artist,
lakini kwa kutuambia eti best artist every in tz, nakupinga kwa % zote, labda kama ni mapenzi binafsi.