Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 790
Kama sio muislamu au rafiki wa JK hata kama ana CV nzuri kiasi gani asahau! This is stupid but it is what will count. Wait and see!
Kwa hili unamwonea JK!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama sio muislamu au rafiki wa JK hata kama ana CV nzuri kiasi gani asahau! This is stupid but it is what will count. Wait and see!
Haswa! upo sahihi kabisa JK anawapendelea sana waislam na kawajaza ktk nafasi zote na hii naamini atapewa mvaa baraghashia tu..
Haswa! upo sahihi kabisa JK anawapendelea sana waislam na kawajaza ktk nafasi zote na hii naamini atapewa mvaa baraghashia tu..
atafutwe mzanzibari mmoja apewe kwani zamu yao au vipi.
kwani kiujumla imekuja onekana wa-zanzibari ni watendaji wazuri sana and zaidi ni waaminifu.
mfano abdul salam,dr omer ali juma(marehemu),omer yussuf etc.
hapana hapana hapanaaaaaa Mr.nanihiii huko unakotaka kutupeleka siko kabsaaaaa
Halisi said:Jamani nani anakumbuka kwamba Ndulu na marehemu Sanare walishiriki kuunda TRA wakati huo JK akiwa Waziri wa Fedha na walifanya kazi hiyo kwa karibu sana. Hebu tukumbushane kwa hilo
Mtaalam.....
kwa nn unasema hivyo?hiyo BoT hata wa-znz wana hisa zao ama vipi?