Rachel akana kutelekezwa na mwanaume Uarabuni

Rachel akana kutelekezwa na mwanaume Uarabuni

Mm cungi mkono, nimejaribu kuelezea real situation iliyopo mitaani, labda ndo kosa langu. Lkn niliyasema kwa faida maana tunaish mazingira tofauti, ww unaishi mazingira ya waliostaarabika lkn huku linapgwa baikoko dada anavua nguo zote na watoto na wazaz wapo. So huwez change this worl wkt fadhili wake mkubwa ni shetani. Unasema et malaya elfu10 miaka hii, kwani ni miaka gani kulikuwa na mtungo kwasababu malaya hawakuwepo?
Na weweweweshiriki hizo mambo? Hakuna kitu kisichokwenda na wakati. Kwa wakati huu, hakuna sababu za gang rape wakati kila mwanaume ana fursa ya kudo hata kwa fadha, umekosa elfu kumi ya kununua mwanamke amaa? Ujinga wa kishamba sana, usiwaunge mkono hao.
 
Naiquote tena''mlee mtoto katika njia impasayo nae hata iacha hata akiwa mzee. Hizo zilikua ni hekima za Suleiman ktk kitabu cha Mithali. So tuwalee watotowetu ktk njia impendezayo Mungu, wakitushinda tumuachie Mungu lkn kuhangaika na watu wa dunia ni kujisumbua tu, mitume na manabii walishindwa na Mungu katuahidi maisha meengine baada ya haya kwakua alishaiona Dunia haina maana. Ubakaji na umalaya ni aina ya uzinzi, ulikiwepo, upo na utaendelea kuwepo
Na Bible pia umeiquote, wanaolaumu humu hawamtetei huyo mwanamke, wanawalaani hao wanaume haswa yule aliyemchukua wa kwanza, kwa ushamba wake na wenzake pia. Sio dili kwa karne hii mtu kujisifia mtungo wala kuushiriki kabisa. Ushamba na kutojitambua. Dereva wa lori zaidi ya Ushamba wake angeshindwaje kuwa na hela ya kumnunua Malaya wake?
 
Na huu ndio unakuwaga mwisho wa wasanii wa Ruge
 
Majinga! Hakuna ngono inayopitwa na wakati ndg, yalikuwepo toka enz za sodoma na yataendelea kuwepo. Watu wanapiga puchu hadi kesho we unashangaa mtungo? Vijana wanakwambia pilau mle wengi ndo linanoga, huku kwetu wakiwa wengi sn hiyo colabo wanaiita We are the World
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
.....Zama hizi wanatia demu mtungo?..majinga hayo majamaa aisee..
ushaambiwa madereva wa malori

halafu wanajisifu eti

wana wadogo zao wa kike, watoto wao, mama zao n.k wanafanya ujinga wanajisifu
 
Hiyo sio sifa. Kama msichana kaamua kujiachia na wewe maana yake kakuamini. Hata kama kazidiwa kwa hali yoyote ile, kama a gentleman au kibinadamu tu, unatakiwa umsaidie. Walivyofanya, kama kweli, ni ubakaji. Kitendo cha ubakaji hakikubaliki na jamii yoyote. Hiyo ni kesi kubwa sana, hapa Duniani msamaha anatoa Magufuli tu peke yake .
Asante kaka.
 
Back
Top Bottom